Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Wangoni ni kama Wanyamwezi.
Video zao kuzipata ni shida saana maana kila uchaguzi mnachagua .................
Umeme wala vitu kama YOUTUBE ni vya shida sana. Ila kuna mtu alifanikiwa kuchukua picha kadhaa. Labda watu tuanze kitabia cha tukienda vijijini, tuchukue Camera na tuchukue video na kuziweka kwenye mtandao.
Unaweza ukakuta kundi ulilopiga video, linapata deal nzuri sana.
Video zao kuzipata ni shida saana maana kila uchaguzi mnachagua .................
Umeme wala vitu kama YOUTUBE ni vya shida sana. Ila kuna mtu alifanikiwa kuchukua picha kadhaa. Labda watu tuanze kitabia cha tukienda vijijini, tuchukue Camera na tuchukue video na kuziweka kwenye mtandao.
Unaweza ukakuta kundi ulilopiga video, linapata deal nzuri sana.
Sikonge,
Tuletee na Mganda kama unazo pamoja na gombe sugu.
Last edited by a moderator: