Ngoja nijaribu kufungua dimba la majina ya Koo mbalimbali nchini Tanzania

Waunguja, wapemba, wamakunduchi

ALI
UBWA
MAKAME
BAKARI
BILAL
HAMAD
SHARIF
SHEIN
MAKUNGU
SILIMA
HATIB
SALEH
 
waluguru-

Kobero
Mkude
Kassongo
Kwembe
Mizambwa
Luanda
Msimbe
Lukoo
Banzi
Bwakila
Mkoba
Nyawale
Josungu
Nyagongo
Magali
Mluge
Berege
Kunambi
 
Wanyiramba

Makala
Shamakala
Kilimba
Kyoma
Mkoma
Nchemba
Mwambu
Nsinsia
Apollo
Kiema
 
Warangi..
Kova
Kimolo
Lubuva
Mavere
Nyange
Kidee
Lujuo
Mwasu
Sware
Goronya
Nkamia
Mafita
....
...
 
kwa kifupi tu majina ya samaki wote walioko ziwa victoria wajita waliamua wajiite hayo majina, mfano

Masato, Nyansato, Nyafuru, Nyambofu, Mafuru, Nyangere, Nyamumi, na mengineyo, haya ni majina ya samaki wanaopatikana ziwa victoria, au wamakonde na wao vifaa vya baiskeli nayo wamejiita wenyewe, kama chukani, pedeli, chipoku, kengele n.k, wenzetu wangoni majina ya wanyama wa porini ndio waliamua kujiita, mfano nguruwe, mafisi, katembo, n.k

Hahahahaha daah JF raha sana umenipunguzia Stress,eti Chukani na Pedeli ina maana wanapenda sana Baiskel ama vp??
 
Wachaga
*kiwelu
*mariki
*matemu
*matemba
*monyo
*ngowi
*nkini
*mramba
*temu
 
Wairaq
Sulle
Massay
Sandemu
Panga
Ratsim
Hombo
Bayo
Akonaay
Murangi
Mungi
Lohay
Endeleza preta........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom