dallazz
Senior Member
- Aug 6, 2011
- 106
- 14
kutakuwa kuna mpunga tu!! acha na mm nikafinye kisha niondoke!!!
kula ccm kura cdm. peoplessssssssssssss?????????????????????
kutakuwa kuna mpunga tu!! acha na mm nikafinye kisha niondoke!!!
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.
Ila akumbuke kumuomba radhi yule askari mlinzi aliyemfukuzisha kazi pale Harbour View!
Du!
Mkuu Bondpost,
umekumbuka ishu ya zamani namna hii?...Nakumbuka ilikuwa ni baada ya kuanza kazi tu akamharibia jamaa mlalahoi aisee!
baada ya mh. Jk kumpiga chini katika baraza lake la mawaziri. Chama cha mapinduzi katika jimbo lake la sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.
plau ni muhimu kujichomeka:baby::baby:
Baada ya Mh. Jk kumpiga chini katika Baraza lake la Mawaziri. Chama Cha Mapinduzi katika jimbo lake la Sengerema kinamuandalia mapokezi ya kifalme hapo kesho, ambapo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara.