Ngawaiya: CHADEMA wanapewa pesa na Marekani kuchochea fujo

Huyu jamaa analeta utani huyu anamshika simba sharubu... jamaa wakiuliza tu Vasco da Gama anamkana na kuwakabidhi wamchukue waende nae.... anafikiria tz ni sawa na cuba au venezuela... subiri niandike email sasa hivi kuumuuliza barozi wa marekani kama hayo madai ya huyu jamaa ni ya kweli, tumechoka ni hizi propaganda za kitoto!!!!

Eheeee, leeeo, Ngawaiya atakoma kuropoka na kutafuta sifa kwa mafisadi wa ccm. M4wdie balozi hii post mkuu aanzishe sebene na ccm
 
mmh kwamba alikua anapewa pesa yeye na mrema kuleta machafuko na fujo nchini!! hivi alikua anaongea hayo maneno baada ya kufukamia mbege au vp?
 
Wakuu.
Inawezekana Ngawaiya anaropoka.
lakini US wanakawaida ya kuchochea vurugu pale wanapoona wana kitu wanakitaka.
sina maana ya kusema kuwa nakubaliana na Ngawaiya..wala simaanishi kuwa kuna chama cha siasa hapa TZ kinachotumika au kinachotumikia US.

Cha kujiuliza hapa ni je US wana interest yoyote na resources za Tanzania?

Wao hutumia kwanza viongozi wa serikali zetu...wakiona kuna ugumu hutumia vikundi ambavyo baadae huviita vyama au vikundi vinavyotaka demokrasia..lakini Libya inaweka precendence kuwa hata rebels wanaweza kuungwa mkono waziwazi.

Nini kilifuata baada ya US kuuripua ubalozi wao hapa TZ, mpango wa milenia, peace corps wameletwa, mkonga wa umeme kwa Zanzibar na list ni ndefu. Something is coocking!

Ona hii..ni fupi na link ya pili ni refu sana.


Confessions of An Economic Hit Man - What Really Goes on Behind Global Affairs#

[video=google;808526880666247652]http://video.google.com/videoplay?docid=808526880666247652#[/video]
 
Last edited by a moderator:
Amekaririwa na ITV kwenye taarifa ya saa tano na robo usiku huu

Jina lake kamili ni Thomas Ngawaiya, aliwahi kuwa mbunge wa Moshi vijijini kwa tiketi ya TLP, baada ya kukorofishana na Mrema akajisalimisha ccm

Ameongea kwa kutumia wadhifa wake wa Mkiti wa wazazi wa ccm mkoa wa Kilimanjaro

Amesema yeye waliwahi kupewa pesa na serikali ya marekani ili wachochee vurugu tz watu wauane ili nchi ionekane ni ya machafuko kama kenya. Amesema alikuja pesa na kuanzisha maandamano sana Dar

Amesema baadaye Mrema alimwambia kwamba hizi pesa wanazopewa kuanzisha vurugu kwenye nchi Yao wakati wamarekani wamekaa kwao kwa amani hazifai. Wakawakatalia wamarekani halafu mrija wa pesa ukakatwa.

Amesema ni staili hiyo wamarekani wametumia kuleta uasi huko afrika kaskazini. Kwamba Hapa tz wamewapatia Chadema hizo pesa ili wachochee uasi Kama ule wa afrika kaskazini. Kwamba ndo maana Chadema "wanachochea vurugu" kwa sababu wameshalipwa pesa.

Alikuwa anaongea kwa kujiamini huku akieonekana kama yuko kwenye group activity fulani, sikuina vizuri, labda walikuwa wanapanda miti.

wivu tu.
 
Mi nadhan viongoz wa Chadema walitolee maamuzi hili. Wapi Lisu? Marando?nawaamin ktk tasnia ya sheria na 2na hamu na hzi kesi!!. Jaman haya mambo c madogo. 2naomba viongoz mchukue hatua juu ya hawa watu
 
NGAWAIYA KATIKA SUALA LA MCHAKATO WA MZIMA WA KUUNDWA KATIBA MPYA KUWEKWA CHINI YA MAMLAKA YA WANANCHI WA KAWAIDA BILA BUGHUDHA YA WATAWALA SISI VIJANA TUNASEMA AMA UKO NASI WANANCHI AU UKO NA WAO MAFISADI BASI!!!!

Mi-utani na mzaha wa mawakala wa ufisadi pembeni, tunaomba sana ieleweke kwa lugha nyepesi kwamba kwenye hili jambo nyeti kuundwa katiba mpya nchini sisi vijana hatuna njia ya kati maana tunajua fika madhara yake katika maisha yetu baadaye; hivyo tunasema kwa kinywa kipana: AMA UKO NASISI WANANCHI NA MATAKWA YETU au umejitokeza kuhesabika na kuingia katika historia ya nchi yetu kama MTETEZI WA KUKODISHWA na hao MAFISADI wachache ndani ya serikali.

Nashukuru wananchi kote nchini nyimbo za aina hii kwa CCM pale wanapohisi wananchi KUWAKUDA SHATI YA SHINGO WAKATII MAMALAKA YA NGUVU YA UMMA KUSIMAMIA MCHAKATO MZIIIMA WA KUUNDWA KATIBA MPYA nchini, wao mafisadi na makuwadi wao huanza na janja mbalimbali mar hoo mara heee ... jamani katika suala la katiba mpya fisadi hapiti hapa na fwdha zake za wizi na wala hatudanganyiki zaidi na hizo PROPAGANDA ZA KIABUNUASI TOKA CCM kila wakati.

Suala hapa wala si la chama fulani cha siasa tena katika suala la kutetea HAKI YA MSINGI YA USHIRIKI WA MOJA KWA MOJA WA KILA MWANANCHI BARA NA VISIWANI KUSIMAMIA NA KUAMULIA KATIBA BADALA YA SERIKALI KUJIHODHISHA JUMUKU LISILO LA, tunasema kwa hili vijana hatuambiliki, hatushikiki wala hatudanganyiki tena.


Ni mchakato kamili wa katiba mkononi mwao wananchi wa kawaida ushukani na serikali kucheza nafasi ya abiria la sivyo ni maandamano mtindo mmoja kwa mfululizo bila kikomo nchi nzima mpaka kieleweke au kuleta hapa longolongo kidogo tu na basi kuwaangushieni zahama ya kufa mtu.


Kifo kwa ajili ya kutete HAKI YA MWANANCHI KIKATIBA KIJIAMULIA UUNDWAJI WA KATIBA BILA BUGHUDHA TOKA KWA WATAWALA itakua ni kifo cha heshima kwetu sisi vijana kuliko kuachia MAFISADI walioiteka nyara CCM hivi sasa KUTUPORA HATA NA HII HAKI ambayo ndicho kitu pekee tulichobaki nacho mikononi baada ya kuporwa karibu kila kitu nchi; historia isije ikatuamua vibaya mno huko mbele ya safari na watoto wetu nasi wakaanza kuchapa mboko makaburi zetu kwa machungu watakayokua wakiyapata huko.


Ewe kijana Mtanzania, hawa mafisadi tumekuja kuwashika katika hili hakuna kulala hakuna kuoneana aibu. Mpango mzima wa mchezo mgani umepangwa na MAFISADI kufuatia bungeni na nchini kwa ujumla kuhusiana na huu Muswada Haramu ni wa hatari mno kwetu hivyo muda wote tuendelee kukaa mkao wa kutangaza ushindi wa Nguvu ya Umma dhidi ya Mafisadi bila CHADEMA, bila CUF, bila CCM, bila NCCR-Mageuzi bali ni kwa mtaji wa UTETEZI WA HAKI YA MSINGI KIKATIBA SISI VIJANA BILA KUJALI TOFAUTI ZETU ZA KIITIKADI.


Kila siku iendayo kwa Mungu Vijana tuhakikishe tumeelimisha walau watu 3 zaidi, mijini na vijijini, kuhusu haki yetu sisi wenyewe kuunda katiba na wala si kazi ya watawala. Tujitayarishe kute nchi ili baraghumu itakapolia baada ya CCM kuchezesha shere bungeni na sisi kazi ianze mara moja kooote nchini kusawazisha kila kitu tupendavyo wenyewe!!!.

Uzalendo mbeeeeeeellleeee kama tai katika Haki bila ufisadi tena mbele yetu!!!!

Mi nadhani it is another stupid trick to divert attention from important nationa matters.

Who is Ngawaiya hadi camera crew ya itv imfuate huko porini akiotesha miti, na mwenyewe anaongea kwa uhakika huku akiwa bize kama watu wanaoigiza sinema
 
Mkuu, zilikuwa zinaitwa Structural Adjustment Programmes.


Kama gawaiwaya aliwahi kuzipikea si akamatwa au kuwa yuko ccm sasa? Lakini nini kazi ya usalama wa taifa? Au ndio wamemtuma aseme? Na walikuwa wapi wakati wakati world wanaifania ujasusi tz wakati adjusted structured program za 1986?
 
Na awe tayari kutoa ushahidi maana asije awe Sofia Simba mara ohoooooo wananisingizia sijawahi kusema hivyo...maneno ya uongo. Mtatapatapa mpaka maji yatawazidi na mtakuwa chakula cha dagaa kama sio nyangumi
 
Naona wengi wanafikiri kuwa kuitowa CCM madarakani kwa nguvu ndio kutatuwa matatizo, hawaoni wala hawasomi kuwa huo ndio utakuwa mwanzo wa matatizo, wanioneshe nchi moja iliyotolewa serikali iliyopo madarakani kwa fitina yenye kukalika duniani hivi sasa.
 
Chadema offers Tanzania real change and genuine democracy, argues Robert Halfon

Posted by Robert Halfon

On returning from Tanzania, Robert Halfon is convinced that - after forty years of cronyism and failed socialism - the political movement Chadema offers Tanzania real change and hope for the future. As with everything the Social Affairs Unit publishes the views expressed in this article are those of the author, not those of the Social Affairs Unit, its advisors, Director or Trustees.


The taxi stopped as the police lights flashed and the sirens sounded. In a flash he pulled to the side of the road. A Tanzanian junior government Minister was passing through with a ten car motorcade (a mixture of Mercedes Benzes and Toyota 4 wheel drives) as an accompaniment. The Minister was on his way not to a summit on reducing third world debt, but to the plush residential district on the Dar Es Salaam Coast where Tanzania's political class live.


Just half an hour before I had been with the taxi to see one of Dar Es Salaam's poorest districts, a shanty town composed of huts made of corrugated iron. Children barefooted, were playing in rubbish dumps. The taxi driver was clearly nervous about driving through this area and warned us that if we had arrived at night, our throats would have been slit in seconds.


But despite this tale of two cities, Tanzanians have real hope for the future. Away from the plush hotels - filled with the political class, visiting Western dignitaries and IMFers, World Bankers and NGOs - there is a new political movement dedicated to transforming the lives of every Tanzanian. This political movement known as
Chadema (meaning democracy and development) recently opened its HQ in one of the poorer parts of Dar Es Salaam in order to show the people that it differed from the corrupt cronyism of the ruling party CCM.

After gaining independence in 1961, Tanzania was subjected to an unfortunate experiment with one party state socialism and full blooded agricultural collectivisation. Tanzania is now one of the poorest countries in the world. 18.7% of Tanzanians live below the food poverty line and 35.7% live below the basic poverty line. 12% of the adult population is HIV positive. The President of Tanzania, Benjamin Mkapa is prized member of Blair's Africa Commission and is seen as close to Tony Blair. However he is also a strong supporter of Robert Mugabe and his policies.

In the early 1990s, following internal political difficulties and pressure from aid donors and Western Governments, the Tanzanian government agreed to introduce a limited multi-party democracy and hold free elections.


Amidst the new politics, one man stood up and set out a new vision for Tanzania. Edwin Mtei, a former Finance Minister who had fallen out with Julius Nyerere over the direction of economic change, decided to establish a new political movement in spite of the bias in favour of the existing ruling party.


Thus in 1993, Chadema was born. This was a political movement that believed in an open society with open markets, that the best way of ending poverty was through a strong economy based on capitalism and a strong society that would end corruption and support families and communities.


Bit by bit,
Chadema is taking the country by storm. Coming from nowhere, Chadema has gone up from three to five seats (in the face of continued political intimidation, lack of fair resources and election fraud), it now controls a number of local councils and is set to win even more constituencies in the October election. Chadema is also expected to make a very strong showing in the Presidential election as it is expected that its current leader, the charismatic and popular Freeman Mbowe will stand.

What is the secret of
Chadema's success? First it is a party that has clearly defined its values. "Real Change, Real Freedom" is not just a slogan but guides every policy statement and principle. Second, Chadema is a party of unity. In marked contrast to other political movements, Chadema is not riven by personality disagreements or factional disputes. Third, the ChademaChadema movement not just because they believe in its ideology, but because they know that the membership and leadership are composed of decent fair minded and ethical individuals. Fourth, Chadema is thirsty for knowledge. The Chadema leadership has scoured likeminded political movements across the world to learn from their experience of setting up a political party, establishing a Party HQ and, most importantly, of how to win elections.
leadership has been very careful to select a new generation of bright, earthy party apparatchiks to run the party. People join the
In the UK, the Conservative Party International Office has been instrumental in giving Chadema advice and training support. And that is how I came to be in a taxi seeing a Government Minister travel past in his absurd motorcade.


Sent to Chadema alongside John Earl, a highly respected political consultant (once running field operations at Central Office), our job was to help Chadema target resources at target seats, position the movement in terms of their values and help define a political message as well as organise their Party HQ. All these activities were given strong support by Chadema staffers and the Party Central Committee. Many other Conservative Party trainers have gone to Tanzania to support Chadema in every way possible.


Although unlikely to win the Presidential election this time,
Chadema will perform creditably and lay down a marker for the 2010 elections - which they have every chance of winning. They are also in a strong position to win more Parliamentary seats this time around.

After forty years of cronyism and failed socialism in Tanzania, the people are in the mood for change but fearful of changing the status quo, of their livelihoods and intimidation if they vote against the ruling party. But as
Chadema becomes more successful by winning more constituency seats and governing local councils creditably, over time, it will become impossible for the Government to stop the tide.

As its name suggests,
Chadema will be one of those few political movements that achieve real change and real freedom by its unstinting support for grassroots democracy and by trusting the people. Chadema is patient because the movement knows that its time will come.

Robert Halfon works as a political advisor. In the 2005 General Election he was the Conservative Party candidate for Harlow.
 
Afrika Kusini.

Naona wengi wanafikiri kuwa kuitowa CCM madarakani kwa nguvu ndio kutatuwa matatizo, hawaoni wala hawasomi kuwa huo ndio utakuwa mwanzo wa matatizo, wanioneshe nchi moja iliyotolewa serikali iliyopo madarakani kwa fitina yenye kukalika duniani hivi sasa.
 
Hivi ina maana uhuru wa kuongea ni kujiongelea lolote tu linalokuijia mdomoni bila kulipima? Tumechoka sasa na watu wa namna hii wanaoropokaropoka tu ila mradi wasikike, kama anahakika na analozungumza si aende akaripoti sehemu husika, awape ushahidi ili sheria ya fedha haramu ichukue mkondo wake? Na vilevile kwa nini yeye asishtakiwe sasa na jamhuri kwa kutumia fedha chafu kuhujumu nchi? maana amekiri kwa mdomo wake mwenyewe wala hakuna aliyemlazimisha akiri.
 
Who is the owner of Protea Hotels and Keys Hotels. When the time comes all you will regrect to what you are
chearing and making bang bang here at jf
 
Yale yale mara Eu mara marekani ni mpaka nchi hizo zitakapoikatia serikali misaada ndipo athari za uzushi wao zitakapoonekana
 
Hii ni kweli. Kati ya chama chenye dalili ya kuiasi serilikali ni chadema. Na uasi huo wamepanga kuanzia Arusha, Ki
limanjaro na Mwanza. Hela zote zipo kwa ndesamburo. Njia za kuasi serikali ni kushawishi vijana na wanavyuo kama ilivyo Libya.

Kwanza sidhani kama Obama ambaye na swahiba mkubwa wa Mh. Rais wetu anaweza kuruhusu kitu kama hicho pia ukizingatia uhusiano mzuri kati ya serikali yetu na serikali iliyopita ya Rais Bush.Kumbuka pia kwamba Marekani ni miongoni mwa wafadhili wakuu wa serikali yetu hasa kupitia mfuko wa Millenium Challenge Award (MCA) na misaada mingine kibao na ukizingatia pia tetesi kwamba huenda makao makuu ya AfriCom yakawa Tz. Kwa haya yote sidhani kama wamarekani wanaweza waka-destabilize hali ya nchi angalau kwa kipindi hiki.

Hata hivyo, kwa maoni yangu, kama tafsiri ya kuiasi serikali maana yake ni kupambana na ufisadi na kuamsha waliolala kutambua haki zao tena kupitia michakato ambayo inaruhusiwa kisheria na kikatiba basi nadhani ni UASI MZURI.
 
Amekaririwa na ITV kwenye taarifa ya saa tano na robo usiku huu

Jina lake kamili ni Thomas Ngawaiya, aliwahi kuwa mbunge wa Moshi vijijini kwa tiketi ya TLP, baada ya kukorofishana na Mrema akajisalimisha ccm

Ameongea kwa kutumia wadhifa wake wa Mkiti wa wazazi wa ccm mkoa wa Kilimanjaro

Amesema yeye waliwahi kupewa pesa na serikali ya marekani ili wachochee vurugu tz watu wauane ili nchi ionekane ni ya machafuko kama kenya. Amesema alikuja pesa na kuanzisha maandamano sana Dar

Amesema baadaye Mrema alimwambia kwamba hizi pesa wanazopewa kuanzisha vurugu kwenye nchi Yao wakati wamarekani wamekaa kwao kwa amani hazifai. Wakawakatalia wamarekani halafu mrija wa pesa ukakatwa.

Amesema ni staili hiyo wamarekani wametumia kuleta uasi huko afrika kaskazini. Kwamba Hapa tz wamewapatia Chadema hizo pesa ili wachochee uasi Kama ule wa afrika kaskazini. Kwamba ndo maana Chadema "wanachochea vurugu" kwa sababu wameshalipwa pesa.

Alikuwa anaongea kwa kujiamini huku akieonekana kama yuko kwenye group activity fulani, sikuina vizuri, labda walikuwa wanapanda miti.

ssa unafikiri hyo mbunge kna k2 kny kichwa!check alivyoana msimamo kuhama hama vyama unafikiri ni mzima?just dull in the head.
 
Hii ni kweli. Kati ya chama chenye dalili ya kuiasi serilikali ni chadema. Na uasi huo wamepanga kuanzia Arusha, Ki
limanjaro na Mwanza. Hela zote zipo kwa ndesamburo. Njia za kuasi serikali ni kushawishi vijana na wanavyuo kama ilivyo Libya.

Kuna mambo kadhaa nayaona kutoka kwako:

1. Shule hujaenda kabisa na hivyo uwezo wa kufikiri umekuwa clouded
2. Shule umeenda lakini ulitoka kapa

The truth is your ability to think critically is all time low, hivi wanafunzi wa chuo kikuu unawezaje kuwadanganya, mathalan kama CCM na serikali yake kama wangeprovide kila kinachohitajika kwa wao kuwa na future inayoeleweka CDM wangewaona wapi. Wangekuwa busy wanaenjoy shule.

Hakuna mtu hata asiyesoma, isipokuwa wewe, ambaye hajui kuwa CCM imesababisha tuwe maskini wa kutupwa in the midst of countless riches at our disposal. Shule hazina madawati, walimu, vitendea kazi, nk. Same kwenye hospitals, huduma za afya ni mbovu, miundombinu hovyo

Kifupi ni kuwa kuna utupu katika uongozi wa CCM, na struggle ya wote wenye macho na akili isipokuwa wewe na Ngawaiya ni kuget rid of CCM, once for all.

To me, either way, CCM ni bora waondoke ili vizazi vyetu viweze kuondokana na balaa hili. Na hata walalamike vipi kuondoka is inevitable, they have contributed immensely for us to be where we are now, they can't get us out of this mess, they have fallen short of purpose, direction and ambition to stir change going forward.

They will vamose, iwe kwa msaada wa US au bila msaada wowote!!
 
Well done America! Tupeni pesa tung'oe mafisadi. Mbona ccm mlipewa pesa na Mugabe wa Zimbabwe uchaguzi wa 2000? Obama hey kudos
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom