Simba ina kila sababu ya kutopeleka timu uwanjani siku ya jtano na kuna uwezekano wa kujiondoa kwenye ligi kuu endapo TFF itashikiria msimamo wake ya kwamba Gervas Kago hajatimiza masharti ya usajiri.<br />
<br />
Akiongea kwenye taarifa ya habari ya jioni ya TBC1 m/kiti wa Simba Aden Rage alisisitiza taratibu zote zimefuata na endapo TFF watang'ang'ania Simba haitacheza mechi dhidi ya Yanga siku ya jtano.
<br />
Akiongea kwenye taarifa ya habari ya jioni ya TBC1 m/kiti wa Simba Aden Rage alisisitiza taratibu zote zimefuata na endapo TFF watang'ang'ania Simba haitacheza mechi dhidi ya Yanga siku ya jtano.