Tafadhali .Naomba msaada kwenye mambo ya fuatayo kuhusu Design ya Gazeti(Tabloid)
1 jinsi ya kuset vipimo vya gazeti(Tabloid) la kurasa kumi na sita
2.jinsi ya kuseti center pages.
3. jinsi ya kuexport kwenye PDF Fomat.
asante kwa msaada wako.
Ruge, lazima uelewe kuwa si lazima uwe na utaalam kuanzisha jambo au mradi. Unachotakiwa ni kuwa na ubunifu [idea].
Mfano mzuri sio kila mkandarasi ni Engineer, Sio kila mmiliki wa shule ni Mwalimu na si kila mfanyabiashara ni mchumi.Hii ndiyo dhana potofu ya watanzania na ni lazima tubadilike.
Kuna uwezekano Leseiyo ana wazo na mtaji lakini hajui ni vipi gazeti lina andaliwa. Ndio maana ameleta hoja yake jamvini ili asaidiwe. Kama kuna mtu ana uwezo msaidieni ndio ujasirimali wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.