Newspaper Design

leseiyo

Senior Member
Oct 25, 2007
116
3
Tafadhali .Naomba msaada kwenye mambo ya fuatayo kuhusu Design ya Gazeti(Tabloid)

1 jinsi ya kuset vipimo vya gazeti(Tabloid) la kurasa kumi na sita
2.jinsi ya kuseti center pages.
3. jinsi ya kuexport kwenye PDF Fomat.
asante kwa msaada wako.
 
Watafute wataalamu wakusaidie. Utatengenezaje gazeti wakati huna ufundi huo? You cann't DIY that.
 
Ruge, lazima uelewe kuwa si lazima uwe na utaalam kuanzisha jambo au mradi. Unachotakiwa ni kuwa na ubunifu [idea].
Mfano mzuri sio kila mkandarasi ni Engineer, Sio kila mmiliki wa shule ni Mwalimu na si kila mfanyabiashara ni mchumi.Hii ndiyo dhana potofu ya watanzania na ni lazima tubadilike.
Kuna uwezekano Leseiyo ana wazo na mtaji lakini hajui ni vipi gazeti lina andaliwa. Ndio maana ameleta hoja yake jamvini ili asaidiwe. Kama kuna mtu ana uwezo msaidieni ndio ujasirimali wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: 1px
Back
Top Bottom