New Couple in Town! I love you so much!

Sikutumii na nna kesi nawewe

Andaa mwanasheria kabisa babu
Na Mimi sijibu chochote hadi apokee simu yangu 😜
Screenshot_20240307-084321_1.jpg
 
Hongera mtoa mada, ingawa inaonyesha wewe ndio umekufa na kuoza kwake zaidi kuliko yeye; hii ni changamoto kwa ulimwengu wa sasa.
Inatakiwa mlengwa aje kwenye huu uzi, tusikie sauti yake; hayo ndio mapenzi.
Tofauti na hapo, jiongeze.​
 
Hongera mtoa mada, ingawa inaonyesha wewe ndio umekufa na kuoza kwake zaidi kuliko yeye; hii ni changamoto kwa ulimwengu wa sasa.
Inatakiwa mlengwa aje kwenye huu uzi, tusikie sauti yake; hayo ndio mapenzi.
Tofauti na hapo, jiongeze.​
Wee hufai Unamsagia kunguni🤠🤠🤠🤠🤠🤠!

Sema FS Unaupiga mwingi chezea mwanaume kukiri weye wachache sana wenye guts🕺


Santo sana Smart911 love
 
Wee hufai Unamsagia kunguni🤠🤠🤠🤠🤠🤠!

Sema FS Unaupiga mwingi chezea mwanaume kukiri weye wachache sana wenye guts🕺


cc Smart911
Nyie wadada wa mjini mna mambo sana, huwa mnaweka nini kule?, mtu akionja tu, lazima aanze kunena hapa jf kwa lugha; au ndio mnakuwa mmewateka kiakili :D:D:D
Ndio maana mimi siku hizi huwa naudhuria maombi ya upako :D
 
Nyie wadada wa mjini mna mambo sana, huwa mnaweka nini kule?, mtu akionja tu, lazima aanze kunena hapa jf kwa lugha; au ndio mnakuwa mmewateka kiakili :D:D:D
Ndio maana mimi siku hizi huwa naudhuria maombi ya upako :D
Lol Wa mjini🤠🤠

Mjini fekero na janja janja sana 🤣🤣🤣🤣🤣!

Basi tu Mtu akiwa nawe anafeel amani ya ile real love baaassssss🤠!
Smart911 wangu nakupenda more more💋
 
Lol Wa mjini🤠🤠

Mjini fekero na janja janja sana 🤣🤣🤣🤣🤣!

Basi tu Mtu akiwa nawe anafeel amani ya ile real love baaassssss🤠!
Smart911 wangu nakupenda more more💋
Mahusiano yana utapeli mwingi, dunia ya sasa hakuna ke anayetaka mashine bila hela, mnataka pesa ndio mengine yafuate.
Mwenye uzi sijui amepigwa biti na binti :D
 
Back
Top Bottom