Hahahahahaha..ndio maana mie siamini kama wadada huwa wanampenda mtu ...yaani akae tu akupende ? Wee hiyo ngumu
Kwani na nyie mnakaa tu mkapendana si mnapenda matako na weupe
Hahahahahaha..ndio maana mie siamini kama wadada huwa wanampenda mtu ...yaani akae tu akupende ? Wee hiyo ngumu
Na Mimi sijibu chochote hadi apokee simu yangu 😜Sikutumii na nna kesi nawewe
Andaa mwanasheria kabisa babu
Mkuu umewaza ujinga sanaMademu wanaojiona wazuri kama hawa mavi yao yananuka sana.
Wenyewe wanajua hilo siwanapenda kula mabaga maKFC mavituvituMkuu umewaza ujinga sana
Hahh na Smart hahah kila postCc: Mahondaw imeishia wapi?
Niffer usiache ….ilete mayatima wa mapenzi watesekeSikia, sisi wala hatuna mpango wa kuonyeshana. Ni mimi tu nafikiri itakuwa vyema nikiwaletea thread moja tu ya love story yetu maana ina mengi ambayo kiukweli napenda watu wajifunze.
Alete tutesekeNiffer usiache ….ilete mayatima wa mapenzi wateseke
Hahahahafinancial services ni age go ila huwezi kumuokota kizembe hivi.
Wee hufai Unamsagia kunguni🤠🤠🤠🤠🤠🤠!Hongera mtoa mada, ingawa inaonyesha wewe ndio umekufa na kuoza kwake zaidi kuliko yeye; hii ni changamoto kwa ulimwengu wa sasa.
Inatakiwa mlengwa aje kwenye huu uzi, tusikie sauti yake; hayo ndio mapenzi.
Tofauti na hapo, jiongeze.
Wee hufai Unamsagia kunguni🤠🤠🤠🤠🤠🤠!
Sema FS Unaupiga mwingi chezea mwanaume kukiri weye wachache sana wenye guts🕺
cc Smart911
Thank you babe unanifanya navimbaaajee !! 💕💕💕💃!Mimi mbona nakiri kwamba nakupenda sana...
Lol Wa mjini🤠🤠Nyie wadada wa mjini mna mambo sana, huwa mnaweka nini kule?, mtu akionja tu, lazima aanze kunena hapa jf kwa lugha; au ndio mnakuwa mmewateka kiakili
Ndio maana mimi siku hizi huwa naudhuria maombi ya upako
Lol Wa mjini🤠🤠
Mjini fekero na janja janja sana 🤣🤣🤣🤣🤣!
Basi tu Mtu akiwa nawe anafeel amani ya ile real love baaassssss🤠!
Smart911 wangu nakupenda more more💋