JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Posted by Mzee Mwanakijiji | May 14, 2012
I don't know if my fellow Tanzanians have noticed that it seems as if that the answer to all our current problems, complaints, concerns and anxieties is being suggested to be the 'new constitution'? Ukiangalia utaona kuwa watu wakilalamika juu ya jambo lolote siku hizi wanaelekezwa kwenye "tume ya kukusanya maoni"? Kiasi kwamba, it is being suggested (or rather being implied) kwamba kama una jambo lolote linalohusiana na utawala mbovu, kutokuwajibika (au kutokuwajibishana) don't criticize, don't complain, don't point it but just go to the "commission"?
Bahati mbaya watu wengi wanafikiria Katiba mpya ni 'sure thing'; kwamba tutakuwa na katiba mpya ifikapo 2015! Hii si kweli! Katiba Mpya lazima ipitishwe na zaidi ya asilimia 50 ya wapiga kura ya maoni - a system which as I said a little while ago is inherently flawed! You know what that means?
Kwamba, kama katiba mpya haitapita katiba ya sasa itabakia ilivyo!! Matokeo yake ni kuwa watu hawafikirii kuifanyia marekebisho hii ya sasa na mifumo yake kwa sababu wameahidiwa ' a pie in the sky!'. Well... hakuna mtego ambao utawanasa wengi kama kukumbatia 'katiba mpya' na wakasahau kufanyia marekebisho ya sasa JUST TO BE SAFE!
I don't know if my fellow Tanzanians have noticed that it seems as if that the answer to all our current problems, complaints, concerns and anxieties is being suggested to be the 'new constitution'? Ukiangalia utaona kuwa watu wakilalamika juu ya jambo lolote siku hizi wanaelekezwa kwenye "tume ya kukusanya maoni"? Kiasi kwamba, it is being suggested (or rather being implied) kwamba kama una jambo lolote linalohusiana na utawala mbovu, kutokuwajibika (au kutokuwajibishana) don't criticize, don't complain, don't point it but just go to the "commission"?
Bahati mbaya watu wengi wanafikiria Katiba mpya ni 'sure thing'; kwamba tutakuwa na katiba mpya ifikapo 2015! Hii si kweli! Katiba Mpya lazima ipitishwe na zaidi ya asilimia 50 ya wapiga kura ya maoni - a system which as I said a little while ago is inherently flawed! You know what that means?
Kwamba, kama katiba mpya haitapita katiba ya sasa itabakia ilivyo!! Matokeo yake ni kuwa watu hawafikirii kuifanyia marekebisho hii ya sasa na mifumo yake kwa sababu wameahidiwa ' a pie in the sky!'. Well... hakuna mtego ambao utawanasa wengi kama kukumbatia 'katiba mpya' na wakasahau kufanyia marekebisho ya sasa JUST TO BE SAFE!
Last edited by a moderator: