New atcl you cant compare with precission

Hivi mbona watu mko in a negative side??? Shirika limerudi angani, ndege mpya, nauli bei safi, huduma nzuri sasa mimi sijui kelele yenu ni ya nini? Mlitaka lisirudi? Ili m comment nini sasa? Kukodi ndege ni kitu cha kawaida kabisa katika airline industry!!!!! Halooooooooo.
 
Hivi mbona watu mko in a negative side??? Shirika limerudi angani, ndege mpya, nauli bei safi, huduma nzuri sasa mimi sijui kelele yenu ni ya nini? Mlitaka lisirudi? Ili m comment nini sasa? Kukodi ndege ni kitu cha kawaida kabisa katika airline industry!!!!! Halooooooooo.
1st June 2012 20:48
Hiyo siku ulipo post hii comment sijui kama Dr. Mwakyembe, waziri wa uchukuzi alikuwa keshaongelea mkataba tata wa hiyo Boeing pamoja na uniform za US $50,000!

Nami narudia tena: 'Funguka"
 
Nachukia sana zile Sandwich za Precision Air mie, sijui ATCL wana connection yoyote kwa International Airlines? Maana mie nikitoka Addis Ababa kwenda Mwanza lazima nakutana na Precision Air hata Nairobi nakutana nao.

Nachukua nafasi hii kuipongeza Management ya ATCL na Serikali kwa ujumla kufufua Shirika letu la Ndege ATCL.
Mimi ni frequent customer wa Precission but I have never got satisfied with their service. Jana nimepanda ATCL kwa kweli nimekuwa satisfied.

1. Bei ni nzuri sana inatofautiana na PW kwa almost 150% - I know those are introductory rates but I am sure they will shoot to 100%

2. Chakula safi - Huwezi linganisha na yale ma sandwich ya precission wanayotoa mwaka wa tano sasa

3. Aina ya ndege - Ni ndege mpya aina Boeng na siyo ATR wala Caravan

4. Service - Crews are matured and not these dotcoms stuff

Big ATCL big up Government but we need consistence
 
Back
Top Bottom