Netanyahu kufanyiwa upasuaji wa ngiri,huku usajili wa askari kupigana Gaza ukianza kuwa mshike mshike.

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,205
10,953
Imeelezwa kuwa kiongozi wa Israel,Benjamin Netanyahu anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ngiri muda wowote kuanzia kesha.
Kesho hiyo hiyo mwanasheria mkuu wa serikali anatarajiwa kusaini sheria ya kuwalazimisha wayahudi wa msimamo mkali kuingizwa jeshini kwa lazima.
Mayahudi wa mrengo huo pamoja na kuwa na uhasidi na wapalestina lakini hawako tayari kuingia jeshini kwenda kupigana na Hamas.
Haijafahamika kwa uwazi kwanini sheria ya kulazmisha usajili jeshini unaoanza sasa umetokana na nini.Jee ni kutokana na askari wengi kufa na kuumia au ni kuanza kukimbia kwa baadhi ya askari hao au imetokana na nini hasa.
1711943805518.png

Netanyahu to have hernia surgery under full anesthesia, deputy PM to temporarily step in

 
Mungu anampiga fimbo kidogo kidogo huu upasuaji wa pili hapo alipo kafungwa kifaa cha moyo kusaidia mapigo ya moyo kaambiwa anatakowa kupumzika na Hamas bado wapo badala ya kuwamaliza anamalizwa yeye.

Mwenzake Sharon alipata kiharusi cha kuvuja damu toka 2006, na alibaki katika kituo cha utunzaji wa muda mrefu kwenye mashine mwishoni mwa 2006 hadi kifo chake. Sharon alikufa Januari 2014 baada ya kumtolea mashine kaawacha Hamas

huyu nae anaelekea huko huko muda si mrefu laana ya kuuwa watoto na wanawake lazima imtafune.
 
Sina uhakika wa Chanzo chako Cha habari.

Ila nyie jamaa mna ujinga mwingi, kwahiyo hapo habari mbaya ni upasuaji wa hernia,?.


Netanyau anafanya Ethnic cleansing , subiri DONALD TRUMP achukue USA....mtakubali

Si aliishia kwa Kunifanya Jerusalem kua mji mkuu wa Israel?.

Jiandaeni, safari hiii anabomoa Msikiti wenu wa Al Aqsa
 
Mungu anampiga fimbo kidogo kidogo huu upasuaji wa pili hapo alipo kafungwa kifaa cha moyo kusaidia mapigo ya moyo kaambiwa anatakowa kupumzika na Hamas bado wapo badala ya kuwamaliza anamalizwa yeye.
Movement ya kuwafurusha Hamas , sio ya Benjamin pekeake, ni ya Ulaya ,US na JEWS ambao ndio haohao wanaotawala US, Ulaya .
 
Imeelezwa kuwa kiongozi wa Israel,Benjamin Netanyahu anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ngiri muda wowote kuanzia kesha.
Kesho hiyo hiyo mwanasheria mkuu wa serikali anatarajiwa kusaini sheria ya kuwalazimisha wayahudi wa msimamo mkali kuingizwa jeshini kwa lazima.
Mayahudi wa mrengo huo pamoja na kuwa na uhasidi na wapalestina lakini hawako tayari kuingia jeshini kwenda kupigana na Hamas.
Haijafahamika kwa uwazi kwanini sheria ya kulazmisha usajili jeshini unaoanza sasa umetokana na nini.Jee ni kutokana na askari wengi kufa na kuumia au ni kuanza kukimbia kwa baadhi ya askari hao au imetokana na nini hasa.

Netanyahu to have hernia surgery under full anesthesia, deputy PM to temporarily step in

Kwa huku kwetu bongo siku 5 tu baada ya hiyo operation unadunda na mzigo unakula fresh tu sembuse huko mbele
.
Alafu huko Gaza IDF hawapigani sasa hivi Bali WANAPIGA sasa askari Gani atakataa kwenda Kutandika adui yake?
 
Yale maandamano yanaofanyika Israel sasa hivi ni Movement za nani?
Mkuu hata Roma Vatican Kuna wakati Raia wanaandamana Kwa kutokubaliana na mambo fulan fulan.


Wanaandama wakitaka Netanyau asitishe vita .

Ila ni sababu hawajui walitendalo.

Kwa walichofanya Hamas, Hawa sio wa kuonea huruma ni kuwachakaza na kusafisha.
 
Uongo huuu
Mimi na wewe tupo tofauti mimi nakuja na data wewe unakuja na porojo habari za Mashariki ya kati umefahamu kupitia JF ndiyo maana ukielezwa vitu ambavyo ufahamu unasema uongo haya soma hii kisha mimi na wewe na muongo.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Sharon suffered a hemorrhagic stroke on January 4, 2006, and remained in a long-term care facility in a vegetative state from late 2006 until her death. Sharon died at 14:00 on 11 January 2014.

The surgery means Israel’s leader will be temporarily out of action with the nation at war with Hamas in Gaza following the October 7 attacks.

This is Netanyahu’s second surgery since returning to the premiership in late 2022. A health scare last summer ended with the Israeli leader being fitted for a pacemaker to fix a transient heart block.
 
Mungu anampiga fimbo kidogo kidogo huu upasuaji wa pili hapo alipo kafungwa kifaa cha moyo kusaidia mapigo ya moyo kaambiwa anatakowa kupumzika na Hamas bado wapo badala ya kuwamaliza anamalizwa yeye.

Mwenzake Sharon alipata kiharusi cha kuvuja damu toka 2006, na alibaki katika kituo cha utunzaji wa muda mrefu kwenye mashine mwishoni mwa 2006 hadi kifo chake. Sharon alikufa Januari 2014 baada ya kumtolea mashine kaawacha Hamas

huyu nae anaelekea huko huko muda si mrefu laana ya kuuwa watoto na wanawake lazima imtafune.
Sema nyie jamaa mna akili ndogo sana. Sana...
Aliyewanyima elimu dunia aliwakosea sana hamjui tu
 
Sema nyie jamaa mna akili ndogo sana. Sana...
Aliyewanyima elimu dunia aliwakosea sana hamjui tu
Uwa nacheka sana Wakirsto Watanzania eti nao wanajitapa wasomi kama huyu eti naye msomi hizi div one za kanisa za kupeana zinawajaza sana ujinga 😂😂😂 sasa kama huyu anifahamu kabisa anasema tuna akili ndogo unaweza kukuta familia yako mzima wanaumwa UTI sugu wanakunya kwenye shimo😅
 
Imeelezwa kuwa kiongozi wa Israel,Benjamin Netanyahu anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ngiri muda wowote kuanzia kesha.
Kesho hiyo hiyo mwanasheria mkuu wa serikali anatarajiwa kusaini sheria ya kuwalazimisha wayahudi wa msimamo mkali kuingizwa jeshini kwa lazima.
Mayahudi wa mrengo huo pamoja na kuwa na uhasidi na wapalestina lakini hawako tayari kuingia jeshini kwenda kupigana na Hamas.
Haijafahamika kwa uwazi kwanini sheria ya kulazmisha usajili jeshini unaoanza sasa umetokana na nini.Jee ni kutokana na askari wengi kufa na kuumia au ni kuanza kukimbia kwa baadhi ya askari hao au imetokana na nini hasa.

Netanyahu to have hernia surgery under full anesthesia, deputy PM to temporarily step in

Ngiri tena. Anaelekea kwenye ushoga
 
Sina uhakika wa Chanzo chako Cha habari.

Ila nyie jamaa mna ujinga mwingi, kwahiyo hapo habari mbaya ni upasuaji wa hernia,?.


Netanyau anafanya Ethnic cleansing , subiri DONALD TRUMP achukue USA....mtakubali

Si aliishia kwa Kunifanya Jerusalem kua mji mkuu wa Israel?.

Jiandaeni, safari hiii anabomoa Msikiti wenu wa Al Aqsa
Trump akiwa Rais wa Marekani hawa magaidi wote watamchukia kuliko maelezo. Trump ni ama aanzishe vita kali iliyo na intensity, au asianzishe kabisa, sio mtu wa vuguvugu.
Hata kwa Urusi na Ukraine, ni ama vita iishe haraka au harakati za vita ziongezeke maradufu.

Haitokaa itokee Rais wa Marekani apendwe na Hamas. Bora Biden ni mzembe na mnyonge, awe ni Bush Jr. umletee upuuzi si unakula jeuri yako.
 
Kwanini walazimishwe ikiwa wanaamini katika wanachokifanya
Kwa sababu sheria ilikuwa inawapa privilege, na sheria hiyohiyo inaweza kubadilishwa isiwaruhusu.
Ni sawa na Mkurya ukiamua ukeketaji ni haki yako, sheria baadae ikikukatalia huwezi dai kwamba usilazimishwe kuacha sababu unaamini hivyo.

Mpaka sasa Wayahudi wa msimamo mkali waliruhusiwa wasipitie "JKT" endapo watakuwa seminary. Ni sheria
 
Imeelezwa kuwa kiongozi wa Israel,Benjamin Netanyahu anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa ngiri muda wowote kuanzia kesha.
Kesho hiyo hiyo mwanasheria mkuu wa serikali anatarajiwa kusaini sheria ya kuwalazimisha wayahudi wa msimamo mkali kuingizwa jeshini kwa lazima.
Mayahudi wa mrengo huo pamoja na kuwa na uhasidi na wapalestina lakini hawako tayari kuingia jeshini kwenda kupigana na Hamas.
Haijafahamika kwa uwazi kwanini sheria ya kulazmisha usajili jeshini unaoanza sasa umetokana na nini.Jee ni kutokana na askari wengi kufa na kuumia au ni kuanza kukimbia kwa baadhi ya askari hao au imetokana na nini hasa.

Netanyahu to have hernia surgery under full anesthesia, deputy PM to temporarily step in

Hatari sana hezzibolah na hamas wamemtia ngiri mzee wa watu!
 
Mimi na wewe tupo tofauti mimi nakuja na data wewe unakuja na porojo habari za Mashariki ya kati umefahamu kupitia JF ndiyo maana ukielezwa vitu ambavyo ufahamu unasema uongo haya soma hii kisha mimi na wewe na muongo.

Sharon suffered a hemorrhagic stroke on January 4, 2006, and remained in a long-term care facility in a vegetative state from late 2006 until her death. Sharon died at 14:00 on 11 January 2014.

The surgery means Israel’s leader will be temporarily out of action with the nation at war with Hamas in Gaza following the October 7 attacks.

This is Netanyahu’s second surgery since returning to the premiership in late 2022. A health scare last summer ended with the Israeli leader being fitted for a pacemaker to fix a transient heart block.
Source ya habari yako unakuta ni Al Jazeera na za kufanana
 
Back
Top Bottom