notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 452
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni maana ukweli uko palepale na mipaka ya nchi ya Israel uliwekwa na Mungu mwenyewe na kulingana na Biblia kama mipaka hiyo ikifuatwa sawasawa utaona kuwa baadhi ya nchi kama Jordan, Syria na baadhi ya maeneo ya Iraq yanatakiwa kuwa Israel sasa hapo tuseme ukweli nani mvamizi wa eneo la mwenzake? Na zaidi sana inajulikana watoto wa Ibrahimu walipewa maeneo yao na kizazi cha Yakobo kikapoteza na kwenda Misri lakini walikuja kurudia baadaye kwa kupigana vita na kukomboa baadhi ya maeneo ambayo leo waarabu wanadai ni yao! Ila kama huamini ni hivi kulingana na maandiko matakatifu ni kuwa hata msikiti wa Dome of Rock utakuja kuvunjwa kama tukiwa hai tutashudia machafuko sana ambayo yanaweza kuepukwa kwa kuangalia historia ya miji yenyewe
nona malumbano ya WATUMWA wakitetea mipaka ya MABWANA ZAO.........
hapo zamani za kale, palikuwa na viongozi wenye nguvu sana katika maeneo tofauti ya TANGANYIKA. kwa uchache tu, alikuwepoMKWAWA.MIRAMBO,KIMWERI nk. HAWA VIONGOZI TOKA MAKABILA MBALIMBALI walikuwa na nguvu na uwezo mkubw wa kupanga,,kutekeleza,,,,......................
vp jamani napindisha mada???? nadhani huu ndio uzalendo