Mwanadamu hajawahi taka kutumia akili ndiyo maana ya matatizo yanayoikumba Dunia .
Vita Kati ya Israel na hamas (Palestina) ni Moja wapo ya matatizo ya kutotaka kutumia akili.nitatoa sababu za kwa nini akili inatakiwa itumike kumaliza vita hii.
1. Umoja wa mataifa ulifanya makosa 1948 wakati wanatengeneza taifa la Israel baada ya kuwa Wana isael kuwa uhamishoni kwa miongo mingi .katika kikao kile walitambua uwepo wa taifa la Israel lakini wasitambue uwepo wataifa la Palestina .kama wangefanya hivyo na kwa kuangalia historia ya mipaka ya nchi hizi mbili kabla ya na baada ya masihi Yesu christo (Issa bin Mariam ) ugomvi wa sasa usingekuwepo .
2.Warabu wanazingua sana .tena sana .Haiji akilini Leo waislamu wanasema eti Mji mtakatifu Jerusalem eti ni Mji wao eti ni Mji mtakatifu wa kislamu.jamani ukiangalia ramani ya kipindi ya Yesu na huduma zake ,utangundua kuwa kulikuwepo nchi mbili Yani Israel (Uyahudi ) na Palestine (Gaza) .Jerusalem ulikuwa ni Mji mtakatifu tena Mji mkuu wa Isael kipindi cha Yesu .sasa waislamu ( warabu ) mnawezaje kusema eti Jerusalem ni Mji wa kislamu ( palestine ,Arab) wakati Iko wazi kabisa kwamba Jerusalem ni Mji mtakatifu wa taifa la Israel kabla na baada ya Yesu ? Tumieni akili basi
3.Israel inapokataa mpango wa umoja wa mataifa kutambua nchi mbili Yani Israel na Palestina hapa inazingua.kinachotakiwa ni kwamba western bank ivunjwe isiwe Palestina Bali iwe makazi ya Israel ,halafu Gaza iongezewe ukubwa na kuwa taifa la Palestina (soma Ramani ya maisha na huduma ya Yesu).
Bila Israel kukubari mpango wa amani wa kutambua nchi mbili,bila ya warabu (waislam na Hamas,na Palestina ya sasa) kuajana na Imani potofu kuwa Jerusalem ni Mji wa Palestina mara ni Mji mtakatifu wa kislamu (warabu) ,vita hii itapiganwa mpaka Mwenye kuumba na kutumia akili Yesu kristo ( Issa bin Mariam) atakapokuja kuamua ugomvi katika vita ya Halmagedoni
Vita Kati ya Israel na hamas (Palestina) ni Moja wapo ya matatizo ya kutotaka kutumia akili.nitatoa sababu za kwa nini akili inatakiwa itumike kumaliza vita hii.
1. Umoja wa mataifa ulifanya makosa 1948 wakati wanatengeneza taifa la Israel baada ya kuwa Wana isael kuwa uhamishoni kwa miongo mingi .katika kikao kile walitambua uwepo wa taifa la Israel lakini wasitambue uwepo wataifa la Palestina .kama wangefanya hivyo na kwa kuangalia historia ya mipaka ya nchi hizi mbili kabla ya na baada ya masihi Yesu christo (Issa bin Mariam ) ugomvi wa sasa usingekuwepo .
2.Warabu wanazingua sana .tena sana .Haiji akilini Leo waislamu wanasema eti Mji mtakatifu Jerusalem eti ni Mji wao eti ni Mji mtakatifu wa kislamu.jamani ukiangalia ramani ya kipindi ya Yesu na huduma zake ,utangundua kuwa kulikuwepo nchi mbili Yani Israel (Uyahudi ) na Palestine (Gaza) .Jerusalem ulikuwa ni Mji mtakatifu tena Mji mkuu wa Isael kipindi cha Yesu .sasa waislamu ( warabu ) mnawezaje kusema eti Jerusalem ni Mji wa kislamu ( palestine ,Arab) wakati Iko wazi kabisa kwamba Jerusalem ni Mji mtakatifu wa taifa la Israel kabla na baada ya Yesu ? Tumieni akili basi
3.Israel inapokataa mpango wa umoja wa mataifa kutambua nchi mbili Yani Israel na Palestina hapa inazingua.kinachotakiwa ni kwamba western bank ivunjwe isiwe Palestina Bali iwe makazi ya Israel ,halafu Gaza iongezewe ukubwa na kuwa taifa la Palestina (soma Ramani ya maisha na huduma ya Yesu).
Bila Israel kukubari mpango wa amani wa kutambua nchi mbili,bila ya warabu (waislam na Hamas,na Palestina ya sasa) kuajana na Imani potofu kuwa Jerusalem ni Mji wa Palestina mara ni Mji mtakatifu wa kislamu (warabu) ,vita hii itapiganwa mpaka Mwenye kuumba na kutumia akili Yesu kristo ( Issa bin Mariam) atakapokuja kuamua ugomvi katika vita ya Halmagedoni