Netanyahu apata kiwewe cha vita.Ataka vita vimalizike Rafah kabla mwezi mtukufu wa Ramadhani

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,199
10,931
Mashinikizo ya vita yameanza kumuelemea waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu na kuanza kuona dalili mbaya mbele yake.
Marekani mbali na kutofautian naye katika sera za kivita vile vile imesimamisha misaada kifedha katika wakati ambapo uchumi wa Israel unadidimia kiasi kwamba bondi za miamala ya kifedha za nchi hiyo kwenye taasisi za kiuchumi duniani zimeshushwa thamani.
Ukija ndani ya nchi yake wito wa kumtaka ajiondoe madarakani kutoka viongozi wastaafu na hata mawaziri wake yameongezeka huku wananchi wakiandamana kwa lengo hilo hilo.
Kutokana na kiwewe kilichoanza kumuingia waziri hiyo cha uwezekano wa vita kutoisha au kwisha kwa aibu na kushindwa kwake,amelitaka jeshi la chi hiyo kuwamaliza Hamas huko Rafaha kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao unatarajiwa kuanza wastani wa Machi 10 mwezi ujao.
Kauli hiyo aliidhihirisha hivi karibuni wakati akijadiliana na wenzake kwenye baraza la kivita lililoundwa maalum kuongoza vita vya Gaza.
Haijulikani ni kipi kimempelekea kuwaza mfungo wa Ramadhani huku akijua muda huo upo karibu kuliko safari aliyotoka nayo ambayo ni refu na hakufikia malengo ya vita.
According to a Channel 12 news report on Friday evening, the prime minister recently told the small war cabinet that the operation in Gaza’s southernmost city, where more than half of the coastal enclave’s 2.3 million residents are sheltering, will need to be completed before the Muslim holy month of Ramadan, which begins around March 10.
1707628600354.png

Netanyahu said to believe Israel has 1 month to finish Rafah operation amid global ire

 
Mkiristo au myahud anaogopa ramadhani? Yeye ashapanga kuua watoto Mwache au lakini daima muislam hajawahi kushindwa ktk vita. Labda muislam huyo awe mnafiki
Mashinikizo ya vita yameanza kumuelemea waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu na kuanza kuona dalili mbaya mbele yake.
Marekani mbali na kutofautian naye katika sera za kivita vile vile imesimamisha misaada kifedha katika wakati ambapo uchumi wa Israel unadidimia kiasi kwamba bondi za miamala ya kifedha za nchi hiyo kwenye taasisi za kiuchumi duniani zimeshushwa thamani.
Ukija ndani ya nchi yake wito wa kumtaka ajiondoe madarakani kutoka viongozi wastaafu na hata mawaziri wake yameongezeka huku wananchi wakiandamana kwa lengo hilo hilo.
Kutokana na kiwewe kilichoanza kumuingia waziri hiyo cha uwezekano wa vita kutoisha au kwisha kwa aibu na kushindwa kwake,amelitaka jeshi la chi hiyo kuwamaliza Hamas huko Rafaha kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao unatarajiwa kuanza wastani wa Machi 10 mwezi ujao.
Kauli hiyo aliidhihirisha hivi karibuni wakati akijadiliana na wenzake kwenye baraza la kivita lililoundwa maalum kuongoza vita vya Gaza.
Haijulikani ni kipi kimempelekea kuwaza mfungo wa Ramadhani huku akijua muda huo upo karibu kuliko safari aliyotoka nayo ambayo ni refu na hakufikia malengo ya vita.
According to a Channel 12 news report on Friday evening, the prime minister recently told the small war cabinet that the operation in Gaza’s southernmost city, where more than half of the coastal enclave’s 2.3 million residents are sheltering, will need to be completed before the Muslim holy month of Ramadan, which begins around March 10.
View attachment 2900380

Netanyahu said to believe Israel has 1 month to finish Rafah operation amid global ire

 
Baadae utakuja tena na mada ya kuomba Israel isitishe vita.
Acha kujifariji ndugu yangu hii vita imesababisha maumivu makubwa Sana Kwa watoto sidhani kama zinahitajika mbwembwe za kutafuta mshindi
 
Baadae utakuja tena na mada ya kuomba Israel isitishe vita.
Acha kujifariji ndugu yangu hii vita imesababisha maumivu makubwa Sana Kwa watoto sidhani kama zinahitajika mbwembwe za kutafuta mshindi
Jamaa huwa wanajitekenya na kucheka wenyewe kama zuzu🤣
Hii vita imeirudisha nyuma Gaza miaka zaidi ya 50 nyuma kwa hasara waliopata...myahudi anapiga kwa kukomoa!.
 
Mashinikizo ya vita yameanza kumuelemea waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu na kuanza kuona dalili mbaya mbele yake.
Marekani mbali na kutofautian naye katika sera za kivita vile vile imesimamisha misaada kifedha katika wakati ambapo uchumi wa Israel unadidimia kiasi kwamba bondi za miamala ya kifedha za nchi hiyo kwenye taasisi za kiuchumi duniani zimeshushwa thamani.
Ukija ndani ya nchi yake wito wa kumtaka ajiondoe madarakani kutoka viongozi wastaafu na hata mawaziri wake yameongezeka huku wananchi wakiandamana kwa lengo hilo hilo.
Kutokana na kiwewe kilichoanza kumuingia waziri hiyo cha uwezekano wa vita kutoisha au kwisha kwa aibu na kushindwa kwake,amelitaka jeshi la chi hiyo kuwamaliza Hamas huko Rafaha kabla ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambao unatarajiwa kuanza wastani wa Machi 10 mwezi ujao.
Kauli hiyo aliidhihirisha hivi karibuni wakati akijadiliana na wenzake kwenye baraza la kivita lililoundwa maalum kuongoza vita vya Gaza.
Haijulikani ni kipi kimempelekea kuwaza mfungo wa Ramadhani huku akijua muda huo upo karibu kuliko safari aliyotoka nayo ambayo ni refu na hakufikia malengo ya vita.
According to a Channel 12 news report on Friday evening, the prime minister recently told the small war cabinet that the operation in Gaza’s southernmost city, where more than half of the coastal enclave’s 2.3 million residents are sheltering, will need to be completed before the Muslim holy month of Ramadan, which begins around March 10.
View attachment 2900380

Netanyahu said to believe Israel has 1 month to finish Rafah operation amid global ire

Kwa akili yako hicho ndo kiwewe!? Yaani kiwewe akipate kutoka kwa maiti?
 
Katika usemaji wake hajawahi kufunua uso wake.Jee wewe uliwahi kumuona kabla.
Kama amekufa mbona vita ndio vimekuwa vikali zaidi.
Akina Abu ubaida wako wengi Gaza.
Na kwa taarifa tu wakazi wa ghaza wanaokaa Rafah wamesema hawataondoka Rafah
Huu mwaka mpaka magaidi ya kizayuni yaiteme Palestine na watu tukasali al aqsa pale
 
Semaji la hamas abu ubaida
Mambo ya kufuatilia mtu mmoja mmoja kujifariji kumeshawafedhehesha mayahudi huko nyuma.
Walimtangaza Mohammed Sinwar kuwa wamemuua na picha ya maiti yake kuisambaza.Kumbe jamaa alikuwa amepewa majukumu mengine makubwa zaidi na ndiyo yale matayarisho ya oktoba 7.
Abu Ubaida hata picha yake hawajaiona.Wameona kimya tu.Atakuwa amepokezana majukumu na wenzake na ndio maana kila siku wanatoa taarifa za mashambulio yao dhidi ya IDF kama yale ya juzi maeneo ya Gaza ya kati.
 
Hivi Israel walishindwa ile Vita?
Nimesema kichapo ambacho hawakutegemea kwa mara ya kwanza walipata loss kubwa na mateka kuchukuliwa wengi.

Huku ndani ya wiki ya kwanza Mirsi alishafuka Suez canal na kuharibu ukuta wao pamoja kusonga mbele pakubwa kwa Syria ilikuwa hivyo hivyo walivuka Golan na kuingia ndani zaidi ,ila baadae Marekani akapeleka Msaada wa kuongeza nguvu pamoja na upande wa Waarabu kuanza kuzembea kusonga mbele haswa Misri kukawa na dalili kamaa za kusalitiana hapo Jeshi la IDF ikapata upenyo wa kufanya mashambulizi makali .

Matokeo yake..
*Viongozi Wakuu wa Israel wajiuzulu ambao ni Waziri Mkuu , pamoja na wengine wakubwa jeshini na katika Serikali
*Misri ikarejeshewa eneo la Sinai
*Syria ndio alitoka kapa ila alipata maeneo cha ziada karibu na Golan.
 
Back
Top Bottom