mbona hasira mtoto mzuri!
jipe raha mwenyewe bibie..!
hahaaa.. chezea mabonge wewe!
Uwwiiiiiii du wanaume mnamambo ngoja nijipime kwa mchanga lol
Kwakifupi nihivi:-
Kila tufanyapo tendo la ndoa, mwenzangu hutoa kilio pasipo machozi, huku ameikunja sura yake na wakatihuo hutamka neno naumia. Hiikiti imekua inanipa wakati mgumu na kunifanya nimuonee huruma mpenziwangu na kumuuliza, nitoke? chakushangazi yeye hukataa na kuonyesha kufurahia tendo.
Maswali:-
Je, hulia kwa kupata maumivu?
Je, hulia kwa kuhisi raha?
Je, nawengine wanaliaga kama wangu?
Je, hutoa kilio kwa mbwembwe tu?
Naombeni ushauri wenu wakuu
baba wara wasikidanga kwa maana wote walio kushauli naona hamna hata mmoja wetu mwenye upeo mkubwa wa mambo hayo ila.!? mambo hayo kweli ni yapo na yanawatokea wanawake wengi tu,nilisha wahi kuonaga kipindi kimoja cha love clinik au afya chek. dr ambaye aliyekuwa anfanya kipindi cku hiyo aligusia kitu hicho,kwa kumbu kumbu zangu alisema tatizo hilo hutokana na homon kivulugika katika mpangilio wake,kwahiyo humpelekea mwanamke hanapofanya sex husikia maumivu makali na kuto furahiya tendo...so huyo mpenzi wako anaumia kweli na wala sio swaga wala kutaka kukuibia,kama kweli bado wampenda na unamipango naye..! mimi nakushauli nenda humtafute dokta anayejua mambo hayo kama dokta izaki wa clouds tv na radio na wengineo wanaoyajua mambo hayo utapata msaada mkubwa kuliko kutuuliza sisi ambao hatuna ujuzi huo.........!! kwa mengine ni pm nikushauli..
yeah u r!Too personal mbona? Au nimezeeka?
Promo hii
mbona hasira mtoto mzuri!
jipe raha mwenyewe bibie..!
hahaaa.. chezea mabonge wewe!
hujambo we switieeeheart!!
miss you hon nashangaa jamaa anamliza mwenzie