Msaidizi Mkuu
Senior Member
- Aug 19, 2020
- 195
- 153
Habari wakuu, hope mko poa kabisa.
Leo nimeona tuone upande wa pili wa wakwe yaani mama wakwe zetu. Tupia neno lolote kwa mama mkwe wako hapo chini tujue mama wakwe wanatabia gani au wapoje.
Kuna rafiki yangu mmoja alisema namshukuru mama mkwe wangu kwa kunizalia kituu maana kila siku siishiwi kulia haha.
Shuka na wewe mdau kuhusu mama mkwe wako hapo chini
Leo nimeona tuone upande wa pili wa wakwe yaani mama wakwe zetu. Tupia neno lolote kwa mama mkwe wako hapo chini tujue mama wakwe wanatabia gani au wapoje.
Kuna rafiki yangu mmoja alisema namshukuru mama mkwe wangu kwa kunizalia kituu maana kila siku siishiwi kulia haha.
Shuka na wewe mdau kuhusu mama mkwe wako hapo chini