Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Nimekuwa naona vyombo vya habari hasa Magazeti wakitumia neno "Hairisha" likimaanisha (kwa kiingereza) postpone. Wataalam wa Kiswahili naomba mnisaidie neno fasaha ni Hairisha au Ahirisha?
Utakuta Gazeti limeandikwa (kwa mfano) " mkutano umehairishwa". kwa jinsi ninavyo fahamu, ingekuwa " Mkutano Umeahirishwa".
Msaada tafadhali.
Utakuta Gazeti limeandikwa (kwa mfano) " mkutano umehairishwa". kwa jinsi ninavyo fahamu, ingekuwa " Mkutano Umeahirishwa".
Msaada tafadhali.