Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
hili neno la kingereza lina utata katika matumizi. maana yake hasa ni nini? kwenye barua utakuta Drea sir/madam. tunaambiwa dear ni mpenzi, so tuseme mpenzi kwenye barua rasmi? maana yake hasa ni ipi? naombeni jibu