cheze
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 501
- 330
Wajumbe wa jf.
Jana mbunge Tundu Lissu alilitumia bugeni,leo mchana mwanasheria kamkosowa kuwa hilo neno alipo.
Nimeangalia kwenye dictionary hili neno linamaanisha kundi la watu linalo jadili mambo yasio na mantiki(soga).
Sinaakika kama Lissu alikuwa na mantiki hiyo au mwanasheria ndio ajalifahamu neno lenyewe.
Mutanisamehe kama nami ntakuwa nimekosea.
Tujadili/.
Jana mbunge Tundu Lissu alilitumia bugeni,leo mchana mwanasheria kamkosowa kuwa hilo neno alipo.
Nimeangalia kwenye dictionary hili neno linamaanisha kundi la watu linalo jadili mambo yasio na mantiki(soga).
Sinaakika kama Lissu alikuwa na mantiki hiyo au mwanasheria ndio ajalifahamu neno lenyewe.
Mutanisamehe kama nami ntakuwa nimekosea.
Tujadili/.