mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
Yani yale yaliyotokea KANU kenya ya viongozi kujiondoa kwenye chama tawala na kuhamia upinzani ndio kitatokea hapa. The only way ya ccm kubwagwa ndio hivo. JK ataweka history ya kua rais aliyegawanya ccm na kukitoa chama madarakani, hiyo itakua kwenye cv yake mpaka anaingia kaburini