Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kwa malumbano yalivyokuwa kati ya Sumaye na viongozi wa CCM ni wazi kuwa game inasogea karibu kabisa na mahali pa ama sumaye ama CCM mmoja anahitaji ondoka mpisha mwingine. Na tayari Sumaye anaweza ingia katika akumbukumbu vyema kama atatangaza hadharani kuwa anajitoa CCM rasmi na kujiunga na wapiganaji akina Mbowe na asigombee uongozi wowote.
CCM watapiga kelele sana kuwa nataka madaraka il haitosaidia kwani hatogombea uongozi wa juu wowote zaidi ya kuwa mzee wa chama.
Kwa muonekano wa haraka CCM hawatakuwa na busara za kujibu vyema maswali yatakayoibuka mara sumaye atakavyoondoka.Hii itawapa ujasiri sana wana CCM wengi wasioridhika na hali, na baadaye patakuwa na avalanche ya defectors. Mwisho who knows CCM inaweza kufa overnight bila damu kama tulivyopata uhuru wa kwanza. Pengine damu pekee itakuwa ya walio uwawa na polisi.
Mh. Sumaye nasema nenda, tangaza nia ya kuachana na Siasa uchwara kama alivyosema Rostam. Ila tofauti ikiwa wewe haupo ktk List ya aibu, na wewe si tuu unaachana na siasa uchwara bali chama uchwara chenye siasa za Hovyo. Utakuwa umelitendea mema na haki taifa hili, na utakumbukwa kwa hilo. Usigeuke nyuma utakuwa jiwe la chumvi na kujiweka ktk hatari ya kutokuwa salama. Kwa sasa ni salama kuwa CHADEMA kwani tayari kila mtu anawaangalia kwa makini wasiku-Mwangosi au Mwakyembe.
Mhe. Sumaye lianzishe tuone CCM nyumba ya mchanga inavyoporomoka kama mchanga ndani ya edifice. Na hapataihitajika tena mtu wa kuishambulia bali itaendelea momonyoka hadi kuisha kwa ulichoanzisha. Hii ndio zawadi yenye fahari kuliko huo urais, na hata kama CHADEMA watapenda kukusimamisha baada ya miaka kadhaa bado utakuwa na heshima kubwa katika historia ya nchi hii. Make it big, with big publicity na ikibidi hata with a big party. Then kapumzike baada ya jibu moja kwa Nape. Utakuwa umefunga mikia kwa utambi na kuwapiga moto huku wakiwa katika shamba la ufisadi, udini, ukanda, undugu, urafiki na ukabila.
Sumaye ukirudi nyuma kama Sitta hutakuwa na amani tena, utaogopa kivuli chako, utaogopa majani yakikugusa, utaogopa kila kitu kihusucho usalama wako. Ni bora kuondoka kwa mbwembwe kubwa instantly halafu uwape majibu ukiwa sehemu salama huku ukipata juice na heshima.
CCM watapiga kelele sana kuwa nataka madaraka il haitosaidia kwani hatogombea uongozi wa juu wowote zaidi ya kuwa mzee wa chama.
Kwa muonekano wa haraka CCM hawatakuwa na busara za kujibu vyema maswali yatakayoibuka mara sumaye atakavyoondoka.Hii itawapa ujasiri sana wana CCM wengi wasioridhika na hali, na baadaye patakuwa na avalanche ya defectors. Mwisho who knows CCM inaweza kufa overnight bila damu kama tulivyopata uhuru wa kwanza. Pengine damu pekee itakuwa ya walio uwawa na polisi.
Mh. Sumaye nasema nenda, tangaza nia ya kuachana na Siasa uchwara kama alivyosema Rostam. Ila tofauti ikiwa wewe haupo ktk List ya aibu, na wewe si tuu unaachana na siasa uchwara bali chama uchwara chenye siasa za Hovyo. Utakuwa umelitendea mema na haki taifa hili, na utakumbukwa kwa hilo. Usigeuke nyuma utakuwa jiwe la chumvi na kujiweka ktk hatari ya kutokuwa salama. Kwa sasa ni salama kuwa CHADEMA kwani tayari kila mtu anawaangalia kwa makini wasiku-Mwangosi au Mwakyembe.
Mhe. Sumaye lianzishe tuone CCM nyumba ya mchanga inavyoporomoka kama mchanga ndani ya edifice. Na hapataihitajika tena mtu wa kuishambulia bali itaendelea momonyoka hadi kuisha kwa ulichoanzisha. Hii ndio zawadi yenye fahari kuliko huo urais, na hata kama CHADEMA watapenda kukusimamisha baada ya miaka kadhaa bado utakuwa na heshima kubwa katika historia ya nchi hii. Make it big, with big publicity na ikibidi hata with a big party. Then kapumzike baada ya jibu moja kwa Nape. Utakuwa umefunga mikia kwa utambi na kuwapiga moto huku wakiwa katika shamba la ufisadi, udini, ukanda, undugu, urafiki na ukabila.
Sumaye ukirudi nyuma kama Sitta hutakuwa na amani tena, utaogopa kivuli chako, utaogopa majani yakikugusa, utaogopa kila kitu kihusucho usalama wako. Ni bora kuondoka kwa mbwembwe kubwa instantly halafu uwape majibu ukiwa sehemu salama huku ukipata juice na heshima.