Nehemiah Mchechu Mkurugenzi wa NHC asimamishwa kazi kupisha uchunguzi!

Ile nyumba...ni...jasho la...marehemu Ikaeli Mbowe na alipewa tu kama heshima...na wala.sio fidia ya mchango wa yule.mzee kwa chama...cha TANU wakati wa kugombea...uhuru

Pia urafiki wake na mwalimu...ulitokana na mchango...kisiasa yule mzee hakua mwanasiasa lakini kutokana na uwezo kifedha alikuwa na ushawishi kilimanjaro na alimsaidia mwalimu kumkutanisha na.vijana ..waliomsaidia kueneza TANU...kanda yaa Kaskazini kama...mzee Kisumo, nsilo swai ,kaaya na eliufooo

Baada ya uhuru Mwalimu alimpa...mzee pale akafungua hoteli iliyokua na.vyumba na club ambayo...pia ilikua sehemu maarufu kwa..mawaziri kubarizi

Mzee yule hakua na wazo la.kuomba hati....hakua na wazo tofauti kwani yeye ,rupia ,sykes,aziz etc waliheshimika sana kama...Godfathers wa Tanu ...na wakridhika hawakuhitaji zaidi

Baada ya mzee...kufariki ndio...watoto walianza kuulizia hati na kwakua Mwalimu aliwapa kwa....mdomo ...alichoweza kufanya mzee Mwinyi ni kuwapatia kina freeman na wenzake( mbowe hotels ) 75% na NHC 25% ,which was good deal...pia kwakua tayari kulikua na..sheria ya kuruhusu ubia na NHC.

Kilichotokea ni kama...miaka ijayo watoto wa.JpM waje kunyanganywa nyumba mfano ya ada esate ya jpm aliyoipata akiwa waziri labda...kwa chuki za kisiasa kwa kuwa wataamua kufanya siasa za upinzani.....hivyo ndio watakavyojisikia
Kaka, unajitahidi kuchanganya habari hapa! Mara unasema alipewa kama hisani mara zikaja share za 75-25%!
Kwa taarifa yako kuna orodha ndefu ya watu waliopewa nyumba kwa hiyo hiyo hisani toka awamu ya kwanza na ya pili kwa mfano Bibi Titi na wengine kibao, hadi leo hawana hiyo share ya 75-25% wala kulipa kodi NHC! Nyumba zao hazina chembe ya mgogoro hadi leo, chukua muda kidogo ufuatilie na utajua ukweli wa Bilicanas!

Mbowe amekuwa akilipa kodi miaka yote kwa 100% hadi pale alipoingia mkataba wa kuendeleza jengo kwa kuongeza ghorofa kadhaa ktk jengo hilo na makubaliano ilikuwa baada ya kujenga atakuwa na share ya 75% Mbowe hotels na 25% kwa NHC. Hakutekeleza makubaliano huku akisimama kulipa kodi na kudai ana share ya 75% na hicho ndiyo chanzo cha limbikizo la kodi yake hadi kufikia Tshs. 1.2 bilion.

Lakini nikukumbushe tu kwamba hapa DSM na mikoani kote kwa ujumla kuna nyumba nyingi sana zimebomolewa kupisha uendelezaji zikiwa na wakazi wengi na walipa kodi wazuri na zilibomolewa kabla na hata baada ya hiyo Billicanas, iweje tupoteze muda kujadili hili ambalo lilipelekwa mahakamani na likatolewa uamuzi akashindwa!
 
Uyu jamaa alikua anakula pension ya mwalimu kila mwezi!
Na Mzee aliwaambia walimu juzi kwenye mkutano wao, mnadai malimbikizo mbona hamdai hela za majumba yanayojengwa na mifuko ya jamii? au sio hela zenu?
 
Ile nyumba...ni...jasho la...marehemu Ikaeli Mbowe na alipewa tu kama heshima...na wala.sio fidia ya mchango wa yule.mzee kwa chama...cha TANU wakati wa kugombea...uhuru

Pia urafiki wake na mwalimu...ulitokana na mchango...kisiasa yule mzee hakua mwanasiasa lakini kutokana na uwezo kifedha alikuwa na ushawishi kilimanjaro na alimsaidia mwalimu kumkutanisha na.vijana ..waliomsaidia kueneza TANU...kanda yaa Kaskazini kama...mzee Kisumo, nsilo swai ,kaaya na eliufooo

Baada ya uhuru Mwalimu alimpa...mzee pale akafungua hoteli iliyokua na.vyumba na club ambayo...pia ilikua sehemu maarufu kwa..mawaziri kubarizi

Mzee yule hakua na wazo la.kuomba hati....hakua na wazo tofauti kwani yeye ,rupia ,sykes,aziz etc waliheshimika sana kama...Godfathers wa Tanu ...na wakridhika hawakuhitaji zaidi

Baada ya mzee...kufariki ndio...watoto walianza kuulizia hati na kwakua Mwalimu aliwapa kwa....mdomo ...alichoweza kufanya mzee Mwinyi ni kuwapatia kina freeman na wenzake( mbowe hotels ) 75% na NHC 25% ,which was good deal...pia kwakua tayari kulikua na..sheria ya kuruhusu ubia na NHC.

Kilichotokea ni kama...miaka ijayo watoto wa.JpM waje kunyanganywa nyumba mfano ya ada esate ya jpm aliyoipata akiwa waziri labda...kwa chuki za kisiasa kwa kuwa wataamua kufanya siasa za upinzani.....hivyo ndio watakavyojisikia
Oooooooh!!!
 
Na ndipo tunarudi pale pale mkuu, unalipwa 20m/- per month, ni kama 5m/= per week! Kila siku ya Mungu waingiza zaidi ya 719,000/=!
Kwanini upige dili na kudai rushwa ya 10-25%????!!! Kwanini bado utosheki na unataka uwe na majiwanja kila palipo NHC?! Kwanini wataka dili zote za ujenzi upate chochote kupitia kampuni yako??!!
Haiingii akilini, ni uroho wa aina gani huu???!!!
Kumbuka kima cha chini ni kiasi gani, wewe kwa siku waingiza mishahara miwili ya mwajiriwa wa kawaida Serikalini kwa mwezi, unapiga dili za nini wakati watakiwa kupiga KAZI kama Mchina au Mjapan?!!
Tujilaumu wenyewe Wabongo na TAMAA ZA ZETU KWA KWELI...

Ndio Mungu alipotunyima hekima na ubunifu wa mtu mweusi umekuwa haba sana bali anachojua mtu mweusi ni kuwa mwizi tu ndio yalliyompata Bob Mchechu.
 
Ndio yaani wakati anabomoa Bilicanas mlishangilia sana. Mkaongea mambo mengi mengi. Tunashangaa leo mnamuita fisadi. Ila mimi nilimuambia acha kuchukua haki ya mtu kwa mashinikizo fulani. Hao wanaikutuma kwa simu, ndio watakokufukuza kwa spika barabarani. Yako wapi, pole yake. Maumivu yale yale aliyompa Mbowe ndio anarudushiwa kwa kushindiliwa.
.....Mbowe alikuwa na mkataba wa ubia, toka mpangaji hadi mbia ! huyu kavunja rekodi ya ufisadi. Mbowe alikuwa na haki au alikuw anaendekeza utapeli ?! Mna mahaba mpaka mmekuwa wajinga.
 
Na wale wanaonyemelea nafasi yake wako salama?
BREAKING NEWS!!!!!
Serikali imewarudisha kazini mara moja na bila masharti yeyote wakurugenzi walisimamishwa kazi na bodi pamoja na wanayakazi wa ofisi ya Mkurugenzi mkuu (DG)

Wakurugenzi waliorudishwa kazini ni pamoja na;-
Director of innovation – (DI) Isack Peter
Director of Treasury and Business development (DBD) David Shambwe
Director of Human Resources (DHR) James Rhombo
Director of Property Management (DPM) Hammad Abdallah
Pia wafanyakazi wote wa ofisi ya Mkurugrnzi mkuu wa NHC akiwemo
Manager Director General Office (MDG) Muungano saguya
Personal Assistant (PA) Agatha makungu
 
BREAKING NEWS!!!!!
Serikali imewarudisha kazini mara moja na bila masharti yeyote wakurugenzi walisimamishwa kazi na bodi pamoja na wanayakazi wa ofisi ya Mkurugenzi mkuu (DG)

Wakurugenzi waliorudishwa kazini ni pamoja na;-
Director of innovation – (DI) Isack Peter
Director of Treasury and Business development (DBD) David Shambwe
Director of Human Resources (DHR) James Rhombo
Director of Property Management (DPM) Hammad Abdallah
Pia wafanyakazi wote wa ofisi ya Mkurugrnzi mkuu wa NHC akiwemo
Manager Director General Office (MDG) Muungano saguya
Personal Assistant (PA) Agatha makungu
Kukurupuka walifukuzwa kwa makosa gani
 
Na ndipo tunarudi pale pale mkuu, unalipwa 20m/- per month, ni kama 5m/= per week! Kila siku ya Mungu waingiza zaidi ya 719,000/=!
Kwanini upige dili na kudai rushwa ya 10-25%????!!! Kwanini bado utosheki na unataka uwe na majiwanja kila palipo NHC?! Kwanini wataka dili zote za ujenzi upate chochote kupitia kampuni yako??!!
Haiingii akilini, ni uroho wa aina gani huu???!!!
Kumbuka kima cha chini ni kiasi gani, wewe kwa siku waingiza mishahara miwili ya mwajiriwa wa kawaida Serikalini kwa mwezi, unapiga dili za nini wakati watakiwa kupiga KAZI kama Mchina au Mjapan?!!
Tujilaumu wenyewe Wabongo na TAMAA ZA ZETU KWA KWELI...
What if huyu MTU anasimia biashara ya mamia ya mabilioni kwa mwaka?! Mshahara wa CEO unaenda sawa na mchango wake.. Siwezi kwenda kukutafutia wawekezaji.wa billions of dollars unanilipa dola 10,000 kwa mwezi nitakuibia tu.. Tunaibiwa sana nchini kwa maana mishahara haiakisi michango!
 
It's done world over, kuanzia South Africa mpaka Korea mpaka California mpaka Santiago. Serikali hutoa makazi kwa watu wa kipato cha chini. Kama serikali kutoa huduma kwa watu ni fikra za mwaka 47 sawa. But it's pretty clear huna ufahamu na jambo hili. Ulichoandika hapa ni cases of corruption/fraud and they should be treated as such. Uliyosema hapa hayana uhusiano wowote na hoja kwamba kazi ya Shirika la Nyumba la Taifa ni kutoa huduma ya makazi bora na affordable kwa watu, ikiwa ni pamoja vijana wanaoanza maisha etc.
Mortgage! Mfumo mbovu kabisa mfumo.usiokuwa na hakika yakesho unaotumiwa na serikali na matajiri.kuwakandamiza wanyonge!?

Tanzania Mungu ni mwema.. Bado. Ushukuru. Wenye mfumo huo ni watumwa kuliko unavyodhania.. Mali yako inakosa umuhakia.. Unafanya kazi maisha yako yooote kumpa MTU mwingine pesa na ukishindwa no matter how long kumalizia inarudi mikononi mwa Serikali.. Huo ndio mfumo.unaulili?a

Pili how low(price) is low cost housing?! Conventional building.. Nyumba ya brick and mortar.. Kwa dola 20k ni nyingi sana?! Upo serious? Au unalinganisha na mabanda tunayojenga uswahilini?! Ambayo hatuwezi kueleza true cost maana ndani kuna mpaka vitu vya wizi?! Tunahamia hatujamaliza?!

Mkijengewa row of houses mnakataa hamtaki kupangwa kama kuku.. Mnataka nyumba za kujitegema mkipewa bei mnalalamika.. FYI shida ya Tanzania sio bei ya nyumba.. Tatizo ni kipato cha wananchi hakiwezi kukidhi .. Nyanyua kipato tuone kama Ml. 47 ni nyingi.

Kwa nadharia.. Tafuta architect anayelipa kodi akuletee mchoro Wa usanifu Wa jengo.. Msimamizi wa ujenzi mwenye leseni akuandalie gharama za jengo(BOQ) Mjenzi mwenye Lessen hapa tumia JKT hawa ni cheap.. Halafu nenda Benki ukope na uwekewe riba.. Uje utuletee nyumba ya vyumba 3, Mabafu/choo 2 .. Jiko, Sebule.. Stoo. Kiwanja kilichopimwa na hati..Umeme na maji na barabara.. Kwa milioni 47.. Tuache kulalama
 
Uzuri wa mpishi siyo ubingwa wa kuchanganya viungo tu! Ni pamoja na kuhakikisha usafi wa chakula ili walaji wasiharishe.
CEO anayetimiza malengo ya shirika vizuri na kuongeza ufisadi wake tumpe nini zaidi ya kutumbuliwa?
Kwa Nini Sizonje naye anayewatumbua asitumbuliwe kwasababu Ni bonge la fisadi
 
Mortgage! Mfumo mbovu kabisa mfumo.usiokuwa na hakika yakesho unaotumiwa na serikali na matajiri.kuwakandamiza wanyonge!?

Tanzania Mungu ni mwema.. Bado. Ushukuru. Wenye mfumo huo ni watumwa kuliko unavyodhania.. Mali yako inakosa umuhakia.. Unafanya kazi maisha yako yooote kumpa MTU mwingine pesa na ukishindwa no matter how long kumalizia inarudi mikononi mwa Serikali.. Huo ndio mfumo.unaulili?a

Pili how low(price) is low cost housing?! Conventional building.. Nyumba ya brick and mortar.. Kwa dola 20k ni nyingi sana?! Upo serious? Au unalinganisha na mabanda tunayojenga uswahilini?! Ambayo hatuwezi kueleza true cost maana ndani kuna mpaka vitu vya wizi?! Tunahamia hatujamaliza?!

Mkijengewa row of houses mnakataa hamtaki kupangwa kama kuku.. Mnataka nyumba za kujitegema mkipewa bei mnalalamika.. FYI shida ya Tanzania sio bei ya nyumba.. Tatizo ni kipato cha wananchi hakiwezi kukidhi .. Nyanyua kipato tuone kama Ml. 47 ni nyingi.

Kwa nadharia.. Tafuta architect anayelipa kodi akuletee mchoro Wa usanifu Wa jengo.. Msimamizi wa ujenzi mwenye leseni akuandalie gharama za jengo(BOQ) Mjenzi mwenye Lessen hapa tumia JKT hawa ni cheap.. Halafu nenda Benki ukope na uwekewe riba.. Uje utuletee nyumba ya vyumba 3, Mabafu/choo 2 .. Jiko, Sebule.. Stoo. Kiwanja kilichopimwa na hati..Umeme na maji na barabara.. Kwa milioni 47.. Tuache kulalama

I am pretty sure you replied to the wrong post.
 
hawa kina mchechu walipoingia madarakani walinunua Toyota L/Cruiser mpya v8 kwa kila mkurugenzi na hapo hapo wakajikopesha Toyota L/Cruiser Prado Mpya latest model !
Huu ni ubadhirifu mkubwa wa mali ya umma.Walinunua magari mapya amabayo thamani yake ni mabilioni ikabidi waajiriwe na madereva wa kuwaendesha hapo hapo wakapeana hiyo Prado new model amabazo ni kama mapambo kwani ni zao binafsi na wakati huo wakitumia L/CUISER V8 ! ni ubadhirifu wa hali ya juu.na nashanga viongozi wa serikali walikuwa wakiwatazama tu.
Duuhh huu sasa ni wivu au nini maanake kama wamenunua wamenunua kiharamu au kihalali, walifuata mchakato wa manunuzi au hawakufuata na hayo maprado unayodai wamenunua walikopeshwa au waligawiwa sioni issue hapa zaidi ya wivu na chuki.
 
Huyu jamaaa yupo vizuri sana ktk kupanga miradi ya nyumba. Hofu ya kutolewa Mchechu lazima NHC iyumbe
 
Back
Top Bottom