Nehemiah Mchechu Mkurugenzi wa NHC asimamishwa kazi kupisha uchunguzi!

Hii nchi tumechezewa sana...nasema uongo ndugu zangu???
Hata sielewi ila nitabaki mtiifu kwa mamlaka na kuonyesha uzalendo kwa taifa na chama changu, hongera kwake kwa kuteuliwa ni kiongozi sahihi tuliekuwa tunamsubiria japo sina kumbukumbu inawezekana nilipongeza pia alipotenguliwa na kusema hafai🤣🤸🐒
 
#nakaziiendelee bado nani aliyefanya madudu, ufisadi, wizi, kutokuwajibika, uyuda akatumbuliwa na Magu hajarudishwa???!!!
 
Chupa ile ile, Mvinyo ule ule

Same Script Same Cast; Recycling of the Same

Trying to solve a solution using same methods which failed before
 
Chupa ile ile, Mvinyo ule ule

Same Script Same Cast; Recycling of the Same

Trying to solve a solution using same methods which failed before
Watu wale wale walioharibu wanarejeshwa ili waharibu zaidi.
 
Back
Top Bottom