Hakuna privacy kwenye kusoma privacy ya nini mmeona sitofahamu iliyojitokeza kwa privacy ambazo hazina msingi siri za kishamba mkeka utoke jina liwepo jamii ijue uzembe unaofanyika mbona zamani ilikuwa hivyoHuu mfumo ni mzuri lazima privacy za watu zilindwe kwa gharama kubwa Sana .
Huu mchezo wa kusomea jina ulianza zamani na Muda huu umekomeshwa kwa kias Fulani.
Ndio tunaomba iwe hivyo ili wajitume waache ngangania urithi wa namba ya mtihaniWatoto wanatamba kitaa KWA vile online hawatoi majina
We unaishi Zama za maweHakuna privacy kwenye kusoma privacy ya nini mmeona sitofahamu iliyojitokeza kwa privacy ambazo hazina msingi siri za kishamba mkeka utoke jina liwepo jamii ijue uzembe unaofanyika mbona zamani ilikuwa hivyo
Boss shukuru mungu kama upo kwenye jamii inayojua kutafuta tarifa, kuna wazazi wapo mjini kabisa hawalewi lolote zaidi ya kutafuta pesa ya kukidhi mahitaji ya familiaLakini Mkuu! Selection ya kwenda A level au vyuo uwa inatoka kwa majina. Hivyo hii ya kwenda kuripoti kwa jina la mtu mwingine halitamalizwa kwa NECTA kutoa matokeo yanayoonesha majina. Labda ungeshauri hao wanaosahau majina yao kama huyo binti wawe wanagongwa muhuli wa jina lake kwenye paji la uso wake!
Vilaza ndio mnaona hili Halifax maana mtaumbukaWe unaishi Zama za mawe
Kiongozi hilo ni janga kuna wazazi wengi sana wanajua watoto wao wamehitimu vyuo ila kiukweli hakuna kitu na wapo na vyeti majumbani na kwa vile sasa ajira zimekuwa ngumu ndio njia hiyo wapo kusumbua wazazi wapewe mitajiKuna kijana wa jamaa yangu wa karibu kafanya kama unavyosema lakini yeye alipata matokeo mazuri ya kwenda CO lakini alipo kwenda chuo alisoma mwaka mmoja tu baada ya hapo akaachilia mbali chuo lakini akawa anaendelea kupewa ada na huduma zote zinazohusu chuo na wazazi wake mwisho wa siku miaka mitatu ilipoisha wazazi wanamwambia wamwombee ajira kwenye private sector alete vyeti anakodoa macho. Mzazi akaamua afuatilie kule chuoni alipo fika alichoambiwa alimpigia cm mkewe akiwa huko huko chuo na kumueleza akifika pale nyumbani asimkute yule mtoto wasije wakagawana majengo ya serikali. Kijana kakimbilia kwa wajomba xake
Hakuna haja msahihishaji ajue jina siye tunaongelea watu wa mwisho wanaachia matokeo hapo ndio mambo yawe hadharaniDaah mnataka watu waanze kusahihisha kwa makabila na udini waweke password hivyo hivyo Mzazi makini hawezi kudanganywa kitoto hivyo...
Kikwete ishi maisha marefu sana baba, kuna maskini huku kama hawakukusema wewe hawapati usingizi kabisa kabisa. Wakishakusema tu basi wenyewe wanajisikia amaaaani na husahau njaa zao kwa muda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 tatizo lilianzia pale mtoto wa KIKWETE alipofeli alipata div 4 ,FFFFFFFFF
Ila hata kwa nchi zilizoendelea matokeo huwa ni siri...Usiri wa nini? Mambo ya Elimu hayapaswi kuwa siri. Mtu kama kafaulu vizuri ajulikane na kama amefeli watu wajue mnaweka siri kwa watoto ili iweje?
Wao acha waweke siri kwani ndio utaratibu wao tangu awali.Ila hata kwa nchi zilizoendelea matokeo huwa ni siri...
Ndiyo maana mpaka leo Hata marekani Hakuna anayejua matokeo ya Trump Shuleni mpaka anamaliza University..
Hata ya Obama hajayaweka wazi...
mambo yaende kiafrika zaidi hatujakua na wakina trump hawa watoto wanakua wapumbavu siku hizi mashuleni kidogo kuweka majina kutawachangamshaIla hata kwa nchi zilizoendelea matokeo huwa ni siri...
Ndiyo maana mpaka leo Hata marekani Hakuna anayejua matokeo ya Trump Shuleni mpaka anamaliza University..
Hata ya Obama hajayaweka wazi...
NECTA ni majitu ya ajabu sana. Kwanini wanafichaficha matokeo kama vile matokeo ni bangi au dawa nyingingine za kulevya? Haya matatizo yote yanayopelekea wazazi kudanganywa na wanafunzi kuteseka yanasababishwa na umbumbumbu wa NECTA kuficha matokeo kwenye namba za mtihani badala ya kutoa jina la mtahiniwa. Ni aibu kubwa sana kwa taifa.Suala ambalo limejitokeza wiki hii mwanafunzi kungangania namba ya mtihani ambayo si yake na kusema ni yake si geni kwenye jamii zetu, wazazi ambao si waelewa sana wanadanganywa sana na watoto zao pale matokeo yanapotoka hasa mwanafunzi akiferi wengi huchukua namba za wenzao na kusema ni namba zao wanafunzi wengine hudanganya wazazi wamesahau namba wengine huenda mbali na kusema wamefauru kwa kupata arama zinazomuwezesha kwenda chuo cha kati.
Hivyo wazazi wanaingia gharama kutoa pesa mtoto aende chuo kijana anapanda gari anafika chuo husika anapanga gheto anakuwa asomi anaishi kubet, kunywa pombe, na kuomba pesa kwa wazazi za matumizi yani kijana anadanganya miaka hata sita kuwa yupo chuo wazazi wanatuma pesa nk mwisho wa siku wazazi wanagundua ni uongo wanaishia kulalamika tu ila chanzo nini hawakujua matokeo ya mtoto wao kidato cha nne kwani yalitoka kwa namba nao uelewa mdogo.
Kwahiyo toeni kwa majina ili iwe vyepesi hata majirani kujua mtoto wa bwana kipara matata kafauru au kaferi, leo hii kuna wazazi wengi wanamini vijana wao wapo vyuo wanasoma au wamehitimu astashahada furani kumbe ni invalid wana vyeti vya stationary wana matokeo ya stationary wanakuja umbuka hawataki kazi wanasumbua wazazi wawape mitaji wajiajiri lengo wasijulikane kama waliferi na wana vyeti feki.
Wito wangu NECTA rudisheni utaratibu wa zamani matokeo ya kidato cha nene na kidato cha sita toeni kwa majina kama aibu iwe sawa tusiogope kwanza hii inaweza saidia wanafunzi jituma maana akiferi atanikwa hii kuficha ficha ni tatizo kwanza kuferi si ugonjwa weekeni mambo hadharani.
Mbona matokeo ya upimaji kidato cha pili, darasa la nne na matokeo ya mtihani wa darasa la saba mnatoa matokeo kwa jina la mtahiniwa kwanini kidato cha nne na kidato cha sita mnatoa kwa number pekee wekeni mambo hadharani wajomba wanatudanganya sana anapata zero anakwambia amepata division four ya 28 anakusumbua umpe mtaji ataki shule, ukimwambia nenda VETA ataki at the end anataka umnunulie bodaboda yani ni shida juu ya shida NECTA tueleweni.
Kama wamefanya kwa namba wapate majibu kwa namba pana janja janja nyingi sana hapo hatutaki kurudi nyuma...Hakuna haja msahihishaji ajue jina siye tunaongelea watu wa mwisho wanaachia matokeo hapo ndio mambo yawe hadharani