NYOTA ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, imeendelea kungara baada ya wabunge wa CCM kumchagua kwa kura 104 awawakilishe kwenye Halmashauri Kuu ya chama hicho (Nec).
Katiba ya CCM inaruhusu wabunge wa chama hicho kuwachagua wajumbe 10 kuingia Nec kutoka miongoni mwao.
Walioingia:
Livingstone Lusinde(Mtera), Nimrod Mkono (Musoma Vijijini), Abbas Mtemvu (Temeke) , Hawa Ghasia. Wabunge wa Viti Maalumu, Angela Kairuki, Munde Tambwe na Faida Mohamed Bakari, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim na Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba.
Wabunge walioanguka
Brigedia Jenerali Mstaafu, Hassan Ngwilizi (Mlalo), Murtaza Mangungu (Kilwa Kaskazini), Naibu Waziri wa Mawasiliano, Dk Athman Mfutakamba, , Dk Charles Tizeba (Buchosa), Christopher Ole Sendeka (Simanjiro).
Wengine ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, , Dk Faustine Ndungulile (Kigamboni), , Ahmed Salum Ali (Solwa), , Yahya Kassim Issa (Chwaka), Mwanahamisi Kassim Saidi (Viti Maalumu), Martha Mlata (Viti Maalumu) na Saidi Mussa Zubeir (Fuoni).
Waliojitoa kabla ya kura kupigwa
Dk Harrison Mwakyembe(kyela), Dk Hamis Kigwangallah (Nzega), Lediana Mgongo (Viti Maalumu), Naibu Spika, Job Ndugai na Mbunge wa Uzini, Muhammed Seif Khatib.
Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM ni Jenister Mhagama
Mwenyekiti wa kamati hiyo ya wabunge wa CCM ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Katiba ya CCM inaruhusu wabunge wa chama hicho kuwachagua wajumbe 10 kuingia Nec kutoka miongoni mwao.
Walioingia:
Livingstone Lusinde(Mtera), Nimrod Mkono (Musoma Vijijini), Abbas Mtemvu (Temeke) , Hawa Ghasia. Wabunge wa Viti Maalumu, Angela Kairuki, Munde Tambwe na Faida Mohamed Bakari, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim na Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba.
Wabunge walioanguka
Brigedia Jenerali Mstaafu, Hassan Ngwilizi (Mlalo), Murtaza Mangungu (Kilwa Kaskazini), Naibu Waziri wa Mawasiliano, Dk Athman Mfutakamba, , Dk Charles Tizeba (Buchosa), Christopher Ole Sendeka (Simanjiro).
Wengine ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, , Dk Faustine Ndungulile (Kigamboni), , Ahmed Salum Ali (Solwa), , Yahya Kassim Issa (Chwaka), Mwanahamisi Kassim Saidi (Viti Maalumu), Martha Mlata (Viti Maalumu) na Saidi Mussa Zubeir (Fuoni).
Waliojitoa kabla ya kura kupigwa
Dk Harrison Mwakyembe(kyela), Dk Hamis Kigwangallah (Nzega), Lediana Mgongo (Viti Maalumu), Naibu Spika, Job Ndugai na Mbunge wa Uzini, Muhammed Seif Khatib.
Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM ni Jenister Mhagama
Mwenyekiti wa kamati hiyo ya wabunge wa CCM ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.