BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,175
- 1,189
Fanya kitu kimoja rahisi, kaka yao si ndo analipa bills, chakula si ndo ananunua yeye na umeme yeye si ndo ananunua basi ni rahisi tu wakiacha maji wazi usiongee ukikuta we funga tu, wakiacha fan wazi hata kama ni 24hrs usilalamike ila ukibahatika kuona iko on zima, anyway chochote wakiacha kinyumechake we rekebisha then kausha... misosi we pika mpaka mingine ibaki, huyo mwanaume usimsemeshe sana na wala usioneshe unamchukia ishi nae kawaida
Mmeo anajeuri ya vipesa mbuzi siku akifukuzwa kazi akili itamkaaa sawa tu hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Mmeo anajeuri ya vipesa mbuzi siku akifukuzwa kazi akili itamkaaa sawa tu hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.