mamii90
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 380
- 265
- Thread starter
- #161
Kuna mambo siwezi saana kuyaongelea kwa maandishi ni mengiPole sana mamii90 samahani kama nitakurudisha nyuma kwa maswali yangu ila majibu yanaweza kutoa picha ya wewe ni nani ndani ya hiyo nyumba maana kwa maelezo uliyotoa siioni nafasi yako kama mke
Mumeo ana umri gani? Ndoa yenu ilianzia kwenye misingi ya upendo au mlioana kwa sababu zingine tuu? Utaratibu wenu wa mipango ya maisha ukoje, mnashirikishana kwenye maamuzi? Je wewe na mumeo mnafanya kazi? na utaratibu wa matumizi ya mapato yenu upoje?
Ila tulipendana na huyu jamaa mwanzo kiasi kwamba tulikua tunakesha kuchati na kuzungumza kwenda sehemu mbalimbali na mambo kama hayo
Ugomvi mkubwa kuwahi kuyokea baina yangu na yeye ni ndugu
Na kucheat nishawahi komfem kafanya hivyo ila hakukua na ugomvi wowote nilosamehe baada ya yeye kunidangamya danganya juu ya hiyo scenario.
Baadhi ya maamuzi ndio ila sio yote haswa yakiwa yanalink na familia yake
Wote tunafanya kazi ila sijui mshahara wake shingapi