GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #21
Kuna kila dalili ya mshtuko mkubwa hapo NOVEMBA Bungeni. Kama nilivyosema vuteni subira by Jumapili au pengine the earliset tommorow tutaweka tetesi hizi bayana baada ya kukamilisha upembuzi wa kadhia hii kwa serikali ya awamu ya Nne