mbasajohn
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 247
- 39
ukifuatilia kwa makin utaona toka bunge linaanza leo tareh 28 july 2011 utagundua kuwa Mh. Ndugai (naibu speaker) alikuwa amejpanga kuwatoa wabunge wa CDM kwan toka anaanza alikuwa akcctza kanun inayohusu kuwatoa wabunge bungen hasa kwa kuongea bila kufata kanun. Kwa nn nasema hv baada ya kufungua tu bunge mweshmiwa ndugai alisoma kanun hi.
Pili baada ya matangazo mh ndugai alisoma na kufafanua kanun h.
Kwann nasema alpanga kuwatoa wabnge wa cdm na sio wengne, kwanza hotuba ya Lema alikuwa nayo tayar na pengne hata mwongozo wa Lukuvi alikuwa nao na aljua Lukv k2mia mda mrefu kchambua hotuba ya Lema na aljua kabsa makamanda wa CDM wasingekubal upuuz huo.
Naomba kuwasilisha.
Pili baada ya matangazo mh ndugai alisoma na kufafanua kanun h.
Kwann nasema alpanga kuwatoa wabnge wa cdm na sio wengne, kwanza hotuba ya Lema alikuwa nayo tayar na pengne hata mwongozo wa Lukuvi alikuwa nao na aljua Lukv k2mia mda mrefu kchambua hotuba ya Lema na aljua kabsa makamanda wa CDM wasingekubal upuuz huo.
Naomba kuwasilisha.