OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,312
- 104,209
Ndoto za mwanadada "nguli wa siasa" Juliana Shonza kuwa mbunge zimeyeyuka. Hivi sasa anasubiri kupenya kwenye tundu la sindano. Ni kama kusubiri jambo ambalo ana uhakika haliwezi kutokea.
Juliana alipendekezwa na chama chake kuwa mbunge wa viti maalamu, ambapo mapendekezi hayo yangetegemea uwingi wa kura za wabunge wa chama chake.
Kwa uwiano wa kura za wabunge wa CCM na UKAWA ni dhahiri sasa viti vya CCM vimepungua na wanaweza kupata viti 47-50 kati ya viti 92 ambapo vingine vitaenda UKAWA!! Kwa kuwa Juliana sio kipaumbele katika chama chake hategemewi kupewa ulaji huo.
Wachambuzi wanasema viti 50 kwa CCM ni vichache sana, vitaishia kwa wakongwe na watu wenye mchango mkubwa chamani.
Juliana alipendekezwa na chama chake kuwa mbunge wa viti maalamu, ambapo mapendekezi hayo yangetegemea uwingi wa kura za wabunge wa chama chake.
Kwa uwiano wa kura za wabunge wa CCM na UKAWA ni dhahiri sasa viti vya CCM vimepungua na wanaweza kupata viti 47-50 kati ya viti 92 ambapo vingine vitaenda UKAWA!! Kwa kuwa Juliana sio kipaumbele katika chama chake hategemewi kupewa ulaji huo.
Wachambuzi wanasema viti 50 kwa CCM ni vichache sana, vitaishia kwa wakongwe na watu wenye mchango mkubwa chamani.