Hapo tu ndiyo nawapendea ndugu zangu waislamu. Wao hawajui kukopesha, unafanya mzaaa unapewa hapohapo. Hakuna cha kusubiri.
Ni mwendo wa jino kwa jino; hakuna ukipigwa kofi kushoto geuka na kulia uongezewe!
Hapo tu ndiyo nawapendea ndugu zangu waislamu. Wao hawajui kukopesha, unafanya mzaaa unapewa hapohapo. Hakuna cha kusubiri.
walikua kwenye tukio?
Labda mahakama ya Kadhi ingesaidia kuamua hii kesi, Nafikiri serikali iwafikilie sasa, Maana hawana MAHALI PA KUPELEKA KESI ZAO, Ndio maana wameishia Magomeni POLISI.Jambo la msingi hapa ni kuwa hii taasis haijui ilitendalo, kama kweli ndolanga alikuwa/ni mjumbe wa baraza la wadhamini wa msikiti akifanya jambo lisilotakiwa anatakiwa ashitakiwe katika vyombo husika na kwa kufuata taratibu/katiba/ miongozo ya baraza la wadhamini. Nilitegemea kusikia ameshitakiwa BAKWATA ama BAMITA ama kwenye shura ya Maimam au taasis yoyote ya kiislam, inashangaza kuwa wanamvua nguo mwislam mwenzao tena msikitini kisha wanampeleka polisi au hawa polisi ni taasis ya kulinda maimum?!, hawajifunzi kwa wakatolik ambao hushitakiana ndani ya vyombo vya kanisa na hukumu zinaheshimika?. OK, labda angekuwepo KADHi wangeshitakia huko na si kupigana ngumi na kisha kupelekana kwa Afande Mwema.
Wamakonde kwa ubabe hadi kwenye mambo ya mungu kwa umri wake sasa ilihitaji apate faraja ya kulea wajukuu wake badala ya kujikita kwenye mabo yasiyokuwa na tija
Hebu nieleweshe, hapa amefanya ubabe gani?!, au yeye siyo mdhamin wa msikiti?, wewe umeamua kutetea wahuni?!, ok. Umesema wamakonde ni wababe; waliomvua nguo na kumjeruhi ni kabira gani?!. Kwa taarifa yako waliofanya uhuni huu watajuta kwani ndolanga si rika lao, nadhani watakimbia mtaa.
Mungu analipa hapa hapa duniani. Huyu habithi si ndiye aliyemuua Stan Katabaro kwenye ujambazi wake na Mwinyi kwenye kashfa ya Loliondo. Na bado. Malipo ni hapa hapa duniani.
Hii mpya, ina maana ndugu zetu waislamu hatuna moyo wa kuvumiliana na kuchukuliana?
tzdaima at work