jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Habari nimezisikia ya kuwa Muhidini Ndolanga kachezea kichapo cha maana msikitini magomeni ambapo yeye ni mjumbe wa bodi ya wadhamini wa msikiti huo wa mchangani.
Imeelezwa kulikuwa na sintofahamu kuhusu maswala ya msikiti huo iliyopelekea kudundwa, kuchaniwa kanzu, kupotezewa kobazi hadi kufadhiliwa kanzu ya mtumba nje ya msikiti.
Hali ilikuwa mbaya kwani walimtoa ngeu waumini waliochachamaa, singlendi yake ilikuwa na mabaka/madoa ya damu, alionekana akitolewa nje baada ya kuokolewa na baadhi ya waumini.
Imeelezwa kulikuwa na sintofahamu kuhusu maswala ya msikiti huo iliyopelekea kudundwa, kuchaniwa kanzu, kupotezewa kobazi hadi kufadhiliwa kanzu ya mtumba nje ya msikiti.
Hali ilikuwa mbaya kwani walimtoa ngeu waumini waliochachamaa, singlendi yake ilikuwa na mabaka/madoa ya damu, alionekana akitolewa nje baada ya kuokolewa na baadhi ya waumini.