Ndoa za kikristo ni kituko, wakristo wengi wanakimbilia sheria za mahakamani ndoa zinaposumbua hawataki kufuata sheria zao za kikristo

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Ndoa ndoana, waweza kudhani umepata kwa kumchunguza mda mrefu kumbe ni mtego tu wa kukushawishi muingie kwenye ndoa, weeeehh!!! ingia sasa kwenye hio ndoa akiyacomoa makucha aliyoficha utaomba poo

Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kumuacha na kumuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, halafu walotunga hizi sheria ni mapadre ambao maishani mwao hawaruhusiwi kuoa kabisa, ndoa ikkushinda eti uende kwao upewe mafundisho ya ndoa, hivi wao wana uzoefu gani kwenye maisha ya ndoa ??

na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani, hii ndio sababu ikbidi serikali iingilie katikuziba hayo mapunufu kwa kutunga sheria ambazo zimekuwa mkombozi kwa wakristo, mkristo ndoa ikimshinda atapambana mahakamani kuipata civil divorce aachane na aweze kuoa upya, zile sheria za kikristo hana mda nazo,,,

Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani nyumbani ni mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
 
Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani na hapa ndipo tunapoona wakristo wengi huenda kinyume na sheria hii wanaenda mahakamani kuomba ndoa ivunjwe.

Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
Happy tatizo
 
Ukristo hauna sheria moja..

Mfano wasabato utaratibu wao wa ndoa haufanani na catholic, na catholic haufanani na TAG, etc

Ukienda anglican hawafanani na KKKT.

Kujumuisha ukristo unakosea..

Kila dhehebu lina taratibu zake za ndoa .

Ukristo unafanana tu kwenye swala la ndoa ya mke mmoja.. ila sio kwenye talaka..

Na sio sheria za ukristo tu bali hata dini za uyahudi, dini za kihindi, dini za kichina, dini za kijapan, budhist religion, hindu etc.. zote hizo ndoa ni mke mmoja..

maana mwanamke ni binadamu na yeye amepewa heshima ya kufurahia maisha yake ya kuolewa peke yake na mumewe.

Sio mwanamke analetewa magonjwa ya bi mdogo.. mara ya mke wa 3 anamuambukiza mke wa nne. Yaani mume anakuwa kiwanda cha kusambaza magonjwa kwa wake zake
 
Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani na hapa ndipo tunapoona wakristo wengi huenda kinyume na sheria hii wanaenda mahakamani kuomba ndoa ivunjwe.

Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
Kwenye ukristo hakuna hiyo sheria. Soma tena maadiko!
 
Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani na hapa ndipo tunapoona wakristo wengi huenda kinyume na sheria hii wanaenda mahakamani kuomba ndoa ivunjwe.

Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
Kabla ya kufunga hiyo ndoa za Kikristo kuna utaratibu wake, pamoja na hayo ni lazima Mungu ahusike kuanzia mwanzo wa Ndoa hiyo. Sas mkienda kichwa kichwa ndo balaa lake hilo kwenda mahakamani
 
Mtu hana mke, hana mtoto, atakupaje mafundisho ya ndoa?? Nawashauri wakristu waende kwenye ndoa za serikali ila baadae wazibariki kama Kuna ulazima. Wengi hawapendi kwani walishatishiwa kuhusu moto wa milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu siyo ndoa zote za Kikristo, na hasa Katoliki; zina migogoro! Lakini pia hiyo hoja yako ya kufungishwa ndoa na mtu asiye na mke wala mtoto, nayo pia haina mashiko.

Zaidi tu utakuwa unaingilia bioa ya sababu yoyote ile imani ya watu wengine.
 
Chombo chenye mamlaka ya kuvunja ndoa tanzania ni kimoja tuu ambacho ni mahakama kwa mujibu wa sheria ya ndoa. Hata kaki ya kufungisha ndoa ni ya serikali na mashehe, mapadri na wachuñgaji wafungishao ndoa hufanya kwa niaba ya serikali na wamepewa vibali maalumu vya kufungisha ndoa

Hivyo, pamoja na makatazo ya diñi ya kutokuvunyika kwa ndoa , mahakama inairarulia mbali mara moja na kutoa cheti cha talaka pale itakapoona imevujika vipande vipande na imekuwa haivumiliki watu hao kuishi pamoja tena.

Kadhalika mahakama haitambui chochote kiitwacho talaka tatu , sijui kuamkia sijui talaka rejea,mmoja wa wanandoa aliyeathirika na unyanyasaji huo uitwao talaka tatu, mahakama inafutilia mbali na kulisikiliza shauri hilo kwa haki
 
Chombo chenye mamlaka ya kuvunja ndoa tanzania ni kimoja tuu ambacho ni mahakama kwa mujibu wa sheria ya ndoa. Hata kaki ya kufungisha ndoa ni ya serikali na mashehe, mapadri na wachuñgaji wafungishao ndoa hufanya kwa niaba ya serikali na wamepewa vibali maalumu vya kufungisha ndoa

Hivyo, pamoja na makatazo ya diñi ya kutokuvunyika kwa ndoa , mahakama inairarulia mbali mara moja na kutoa cheti cha talaka pale itakapoona imevujika vipande vipande na imekuwa haivumiliki watu hao kuishi pamoja tena.

Kadhalika mahakama haitambui chochote kiitwacho talaka tatu , sijui kuamkia sijui talaka rejea,mmoja wa wanandoa aliyeathirika na unyanyasaji huo uitwao talaka tatu, mahakama inafutilia mbali na kulisikiliza shauri hilo kwa haki
Ushawahi kuona wapi ndoa ya kiislamu inavunjwa mahakamani?
 
Back
Top Bottom