Ndoa za kikristo ni kituko, wakristo wengi wanakimbilia sheria za mahakamani ndoa zinaposumbua hawataki kufuata sheria zao za kikristo

Iko hivi kwanza ukienda mahakamani watakuuliza Kwanza kuhusu bakwata,yaani hawawezi kusikiliza kabla hujapitia bakwata.

Bakwata Makao Makuu wanatoa talaka na inatambulika kisheria,,Ila kama ni ndoa ya ugomvi na purukushani wao hawaivunji Bali mnaenda kumalizana mahakamani.

Kwahiyo sio kwamba Bakwata imepokonywa kabisa mamlaka ya kuvunja ndoa laa! Ila Kwa mazingira hayo niliyo taja ndo unaenda mahakamani
Mwalimu wako alipata shida sana kukufundisha.

Baki na ujinga wako.
 
Acha uongo mie mwenye mkristo,ukweli ndio za wenzetu Islamic ndoa zao hata zikiwa za Mme na wake 3 zipo vizuri kuliko zetu za mke mmoja.mbona huwa hatuoni huku mtaani wakisema wanapeana magonjwa??

uongo upi!!!huu utafiti wa ndoa nzuri zaidi kuwa za kiislam umeutoa wapi!!!

waislam wangapi wana wake wanne au watatu licha ya dini kuruhusu????

wewe kama ndoa yako iko taabani changa karata zako vizuri,ukiona ni idadi ya wanawake itainusuru,hamna shida weka vimada nje uwe unakwenda kulala kwa zamu.ukimaliza mzungungo nipe matokeo umegundua nini.
 
Kama unao uwezo wa mali na nguvu za kiume na wewe ni MUISLAM nakushauri kuwa na mke zaidi ya mmoja huwezi kuwa na stress za kurudi nyumbani hata siku moja utaishi peaceful life kila mmoja wao atahakisha yeye anakuwa bora kuliko mwingine.
 
Ukristo hauna sheria moja..

Mfano wasabato utaratibu wao wa ndoa haufanani na catholic, na catholic haufanani na TAG, etc

Ukienda anglican hawafanani na KKKT.

Kujumuisha ukristo unakosea..

Kila dhehebu lina taratibu zake za ndoa .

Ukristo unafanana tu kwenye swala la ndoa ya mke mmoja.. ila sio kwenye talaka..

Na sio sheria za ukristo tu bali hata dini za uyahudi, dini za kihindi, dini za kichina, dini za kijapan, budhist religion, hindu etc.. zote hizo ndoa ni mke mmoja..

maana mwanamke ni binadamu na yeye amepewa heshima ya kufurahia maisha yake ya kuolewa peke yake na mumewe.

Sio mwanamke analetewa magonjwa ya bi mdogo.. mara ya mke wa 3 anamuambukiza mke wa nne. Yaani mume anakuwa kiwanda cha kusambaza magonjwa kwa wake zake
Kaka umeongea utopolo sana

Nanukuu
Ukristo hauna sheria moja

Kama unakijua ulichoandika naomba kujua sheria ya kila dhehebu ulilitaja na uniambie andiko ambalo kila dhehebu linasimamia mana biblia ndo katiba yetu

Umeniuzi kweli
 
Kaka umeongea utopolo sana

Nanukuu
Ukristo hauna sheria moja

Kama unakijua ulichoandika naomba kujua sheria ya kila dhehebu ulilitaja na uniambie andiko ambalo kila dhehebu linasimamia mana biblia ndo katiba yetu

Umeniuzi kweli

Ndio ukristo hauna sheria moja mfano Mimi ni mkristo msabato.

Sisi wasabato hatusomi agano jipya.

Tunasali jumamosi na sio jumapili

Hatuli nguruwe huku dhehebu lingine linakula.

Je sisi wasabato sio wakristo?
 
Ndio ukristo hauna sheria moja mfano Mimi ni mkristo msabato.

Sisi wasabato hatusomi agano jipya.

Tunasali jumamosi na sio jumapili

Hatuli nguruwe huku dhehebu lingine linakula.

Je sisi wasabato sio wakristo?
Hizo tofauti zote kila mtu anazijuwa
Nakuuliza sheria ya ndoa inasemaje kwa kila dhehebu?? mana kwa hapo mimi ni mgeni
 
Ndoa ndoana, waweza kudhani umepata kwa kumchunguza mda mrefu kumbe ni mtego tu wa kukushawishi muingie kwenye ndoa, weeeehh!!! ingia sasa kwenye hio ndoa akiyacomoa makucha aliyoficha utaomba poo

Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kumuacha na kumuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, halafu walotunga hizi sheria ni mapadre ambao maishani mwao hawaruhusiwi kuoa kabisa, ndoa ikkushinda eti uende kwao upewe mafundisho ya ndoa, hivi wao wana uzoefu gani kwenye maisha ya ndoa ??

na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani, hii ndio sababu ikbidi serikali iingilie katikuziba hayo mapunufu kwa kutunga sheria ambazo zimekuwa mkombozi kwa wakristo, mkristo ndoa ikimshinda atapambana mahakamani kuipata civil divorce aachane na aweze kuoa upya, zile sheria za kikristo hana mda nazo,,,

Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani nyumbani ni mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??

Tozo zinakuchanganya
 
Hizo tofauti za kila mtu anazijuwa
Nakuuliza sheria ya ndoa inasemaje kwa kila dhehebu??

Sheria na kanuni ya Roman catholic wao ndoa yao haivunjiki mpaka kifo kiwatenganishe. Huruhusiwi kufunga ndoa ya pili kama mkeo wa mwanzo ama mumeo wa mwanzo hajafa.

Sisi wasabato ndoa inavunjika hata kama kifo hakijawatenganisha. Sisi unaweza ukaoa tena kama ndoa ya mwanzo imevunjika
Nimeongelea dhehebu langu sababu nalijua.

Roman nimetoa kama mfano kwa kusikia taratibu zao. Kama nimeongopa wa roman watanisaidia
 
Ndio ukristo hauna sheria moja mfano Mimi ni mkristo msabato.

Sisi wasabato hatusomi agano jipya.

Tunasali jumamosi na sio jumapili

Hatuli nguruwe huku dhehebu lingine linakula.

Je sisi wasabato sio wakristo?
Wasabato siyo Wakristo.
 
Wasabato siyo Wakristo.

Inawezekana ukawa sahihi..

Ila kwa ufupi
Wasabato ni Wakristo wanaomuabudu Mungu hasa siku ya Sabato, kama ilivyo kwa Wayahudi, tofauti na Wakristo walio wengi (99%) wanaoadhimisha tangu kale Jumapili kama siku ya ufufuko wa Yesu ambayo umeanza uumbaji mpya utakaofanya viumbehai kushiriki utukufu wa Mwana wa Mungu.

Pia kwa Tanzania tupo kwenye kundi la wakristo.

Hata sheria ya ndoa na mirathi ya Tanzania inatutambua kama wakristo.
 
Inawezekana ukawa sahihi..

Ila kwa ufupi
Wasabato ni Wakristo wanaomuabudu Mungu hasa siku ya Sabato, kama ilivyo kwa Wayahudi, tofauti na Wakristo walio wengi (99%) wanaoadhimisha tangu kale Jumapili kama siku ya ufufuko wa Yesu ambayo umeanza uumbaji mpya utakaofanya viumbehai kushiriki utukufu wa Mwana wa Mungu.

Pia kwa Tanzania tupo kwenye kundi la wakristo.

Hata sheria ya ndoa na mirathi ya Tanzania inatutambua kama wakristo.
Founder wa Wasabato si ndio huyu mwanamke Hellen G White?

Agano jipya ndio injili ya Yesu Kristo Sasa kama hutumii agano jipya huo Ukristo wako unatoka wapi?

Wasabato ni dini inayojitegemea na siyo Wakristu.
 
Founder wa Wasabato si ndio huyu mwanamke Hellen G White?

Agano jipya ndio injili ya Yesu Kristo Sasa kama hutumii agano jipya huo Ukristo wako unatoka wapi?

Wasabato ni dini inayojitegemea na siyo Wakristu.

Kwa Tanzania hakuna dini ya kisabato.

Sheria ya ndoa na mirathi ya Tanzania. Imewaweka wasabato katika kundi la wakristo
 
Ndoa ndoana, waweza kudhani umepata kwa kumchunguza mda mrefu kumbe ni mtego tu wa kukushawishi muingie kwenye ndoa, weeeehh!!! ingia sasa kwenye hio ndoa akiyacomoa makucha aliyoficha utaomba poo

Sheria za wakristo ni kwamba hakuna ndoa kuvunjika na hakuna kuoa tena, kiuhalisia hili ni jambo ambalo ni mtihani, kwamba kijana rijali kabisa akishindwana na mwenzake harusiwi kumuacha na kumuoa upya ?? hiki ni kituko aisee,,,, halafu walotunga hizi sheria ni mapadre ambao maishani mwao hawaruhusiwi kuoa kabisa, ndoa ikkushinda eti uende kwao upewe mafundisho ya ndoa, hivi wao wana uzoefu gani kwenye maisha ya ndoa ??

na ndio maana hizi sheria zipo kinadharia tu lakini katika uhalisia haziwezekani, hii ndio sababu ikbidi serikali iingilie katikuziba hayo mapunufu kwa kutunga sheria ambazo zimekuwa mkombozi kwa wakristo, mkristo ndoa ikimshinda atapambana mahakamani kuipata civil divorce aachane na aweze kuoa upya, zile sheria za kikristo hana mda nazo,,,

Hivi mtu umekaa na mwanandoa mwenzako hakuna amani nyumbani ni mikwaruzo kila siku, mmeoana ndio unakuja kugundua aliyaficha makucha yake na sasa kayachomoa, anakunyima unyumba, anachukia ndugu zako, n.k. hapa kuna ndoa tena ??
Kanisa limekuwepo kabla ya serkali. Unapofunga ndoa hulazimishwi na unaulizwa uko tayari mpaka kifo kiwatenganishe, sasa shida Nini? Kama umelijua hili mapema usifunge ndoa au hama kanisa nenda huko kwenye uhuru. Binadamu bwana, don't force the church to change, always you have options use them.
 
Kanisa limekuwepo kabla ya serkali. Unapofunga ndoa hulazimishwi na unaulizwa uko tayari mpaka kifo kiwatenganishe, sasa shida Nini? Kama umelijua hili mapema usifunge ndoa au hama kanisa nenda huko kwenye uhuru. Binadamu bwana, don't force the church to change, always you have options use them.
Kanisa linatumia vyeti vya ndoa vya serikali, hakuna ndoa yoyote mpaka kifo, ndoa ikishindikana inavunjwa mahakamani, kama hujui jambo ni bora uombe kuelimishwa kuliko kulazimisha maoni yako ndio yawe fact.
 
Wewe ndio huelewi
Kanisa linatumia vyeti vya ndoa vyaD serikali, hakuna ndoa yoyote mpaka kifo, ndoa ikishindikana inavunjwa mahakamani, kama hujui jambo ni bora uombe kuelimishwa kuliko kulazimisha maoni yako ndio yawe fact.

Kanisa linatumia vyeti vya ndoa vya serikali, hakuna ndoa yoyote mpaka kifo, ndoa ikishindikana inavunjwa mahakamani, kama hujui jambo ni bora uombe kuelimishwa kuliko kulazimisha maoni yako ndio yawe fact.
Wewe ndio huelewi kutumia vyeti vya serkali hakuipi mamlaka yoyote serkali kuingilia taratibu za kanisa, Sheria za kanisa zimekuwepo kabla ya hiyo serikali. Na kwa taarifa yako Vatican is independent state with its own governance. Narudi Tena SI lazima uwe kwenye kanisa you have options use them.
 
Back
Top Bottom