Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,379
Wanabodi,
Mwanaume mmoja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) aliyejipachika jina Fela Anikulapo Kuti, kaingia Kanisani akiwa na wanawake watatu na kufunga nao ndoa ya pamoja.
Ndoa hiyo imefungwa na Mchungaji mmoja raia ya Kongo mchungaji huyo alitumia vifungu kadhaa vilivyopo katika biblia ambayo makanisa yote ya Kikirsto duniani wanaitumia.
SOURCE: MWANANCHI AGOST 8 2012
Mwanaume mmoja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) aliyejipachika jina Fela Anikulapo Kuti, kaingia Kanisani akiwa na wanawake watatu na kufunga nao ndoa ya pamoja.
Ndoa hiyo imefungwa na Mchungaji mmoja raia ya Kongo mchungaji huyo alitumia vifungu kadhaa vilivyopo katika biblia ambayo makanisa yote ya Kikirsto duniani wanaitumia.
SOURCE: MWANANCHI AGOST 8 2012