Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Tangu jadi mapenzi hayatambui umri, rangi wala kabila. na ndio maana katika eneo la maralal mzee wa miaka 90 alifanya harusi na mkewe aliye na umri wa miaka 80.Ilikuwa sherehe maalum iliyojawa na kila aina ya furaha kati ya wapendanao waliojaaliwa watoto
Last edited by a moderator: