Maajabu ni kwamba ukishikilia unahisi kama nitaweza kumiliki hii for good ..kumbeee 😂kama ungeendelea kidogo kuelezea, Maana kitu ukikimiliki unakuwa na amani zaidi na kukishikiria au vice versa is true ?
Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
Siku hizi ni hatari Kalpana kama tunawindana vile kwenye mahusiano....moyo wa mutu bonge la chaka kupata chaka zuri si jambo dogo mpaka mzeeke woteKazi mnayo vijana..ombeni huruma ya Mungu...
Mimi mwana ndoa kafunga mwezi wa 11.. mwezi wa 12 kaondoka home kwake bila taarifaa... katafutwaa kila konaa kuja kukutwa anadai eti hawezi ishi na mwanamke ana mdomoo daah tulidataaa
Una hoja.Ndoa ndoano.
Ile miaka 8 ilikuwa mahusiano ya hiari.
Ndiyo maana wamedumu muda wote huo.
Kwenye ndoa ni mahusiano ya lazima. Huyu ni mke wangu, nimemuoa. Nimemtolea mahari. Nimemnunua. Hili jiko langu.
Ndiyo maana miezi miwili tu, kwishney.
Si walikunywa, kula na kucheza muzikiHapa wanaoumia zaidi ni wale waliotoa michango mkuu
head fore head😂😂😂😂😂😂
shida🤣🤣Pole, shida nini mkuu?
Kweli kabisa nashuhudia mengi huku mtaani ndoa za 2019 kupanda juu zina vurumai sana...nadhani ndo mambo ya maisha ya mitandaoni yamekolea...Siku hizi ni hatari Kalpana kama tunawindana vile kwenye mahusiano....moyo wa mutu bonge la chaka kupata chaka zuri si jambo dogo mpaka mzeeke wote
NAKAZIAsafi sana kisha
NAKAZIA
acha tu mkuu ni huzuni kwa kweli 😭😭Wewe mpk mwaka huu ukaishe utakuwa umekufa kwa kulia, maana kila mada inayoandikwa kwenye hili jukwaa inakuliza.
usiwe unalilia wali wa kwenye sherehe pia mkuuNdo mana sitoagi michango mm
kuna waliotoa lakini kwa kulazimishwa kutoa mchango unakuta mtu anatoa mchango huku analia 😭😭Si walikunywa, kula na kucheza muziki
Alilia lakini alijipooza ukumbinikuna waliotoa lakini kwa kulazimishwa kutoa mchango unakuta mtu anatoa mchango huku analia 😭😭
Lawama zote ziende kwako.Mimi mwana ndoa kafunga mwezi wa 11.. mwezi wa 12 kaondoka home kwake bila taarifaa... katafutwaa kila konaa kuja kukutwa anadai eti hawezi ishi na mwanamke ana mdomoo daah tulidataaa
je wale walotoa mchango na hawakufika ukumbini kwa sababu mbali mbaliAlilia lakini alijipooza ukumbini
Hahaa hao imekula kwaoje wale walotoa mchango na hawakufika ukumbini kwa sababu mbali mbali
ni huzuni huko waliko🤣😂Hahaa hao imekula kwao