More poetic.Naam,
Tatizo kuna tofauti kati ya kitu na mtu, na ukigeuza mtu kuwa kitu, utapata matatizo.
Waswahili walisema, chokochoko chokoa pweza, binadamu, hutamuweza.
I am glad you asked.Mkuu somo la tofauti ya feminine na feminist please
Mmh.Ndo ivo
😿😢asante sana mkuu unaweza niuzia hyo nokia yako mkuu
hiyo miaka 8 yote waliishi pamoja pia?Jambo gani hilo ambalo halikuonekana miaka yote 8 waliyoishi bila ndoa?!
acha tu mkuu naliaaaa nalia mpka nalia tenaHadi umepata kwikwi.
Sio tena masuala ya hela?😂😂Hadi mwanamke akatae kabisa kurudi, hapo kuna jambo zito la aibu ndio maana hawaongei.
nimelia sana 😿😢😿 umeshindwa kuelewa point yangu aiseeWanaumiaje SI Hela ilisharudi si walikunywa,kula,kulewa na kucheza muziki