Nasikia AY anakung'uta hii kitu...kuna ukweli juu ya hilo?
Ni msanii fulani wa bongo flava,Mkuu AY ndo nani huyu?
Alikaa jela ya Lusaka huko, walinaswa boda,jamaa(mcongo) alimtengenezea passport ya Zambia pretending to be a Zambian national,boda wanashangaa mtu ana passport ya zambia then haongei lugha yao. Kulikuwa na mtu anafanya ubalozi wa TZ Zambia siku moja taarifa inaletwa ubalozini kuwa kuna "raia" wenu kafungwa gerezani ndo mtu yule kushtuka baada ya kuona jina (Irene Pancras Uwoya)maana alikuwa anafahamiana na mama yake(Irene) akawasiliana nae wakaanza mchakato kumtoa. Hakumaliza kifungo chote Mkuu. Ni demu wa kushoboka labda akikua ataacha!
nani kunguru kati yao???
kitanda usicholala hujui kunguni wake!
mambo ya ndoa huwa ni magumu sana.....sipendi kuyaongelea kama siyajui uzuri
Khaaaaaaa!Uskute pengine uwoya kafall kwangu ndo maana kadai divorce. acha niongeze maombi
Nikajua haupitii sana jukwaa la selebritiz, sorry honey nilikosea spelling si unaona hiyo uwoya ilivofanana na cantalisia?Khaaaaaaa!
Khaaaa my swty!Nikajua haupitii sana jukwaa la selebritiz, sorry honey nilikosea spelling si unaona hiyo uwoya ilivofanana na cantalisia?
Kamanda nakushauri ubaki na Cantalicia huyu Yuyoya humuwezi ni mchezaji wa 'premier' na simu aitumiayo ni Zantel( habari za striti ) sijui umenielewa ?Nikajua haupitii sana jukwaa la selebritiz, sorry honey nilikosea spelling si unaona hiyo uwoya ilivofanana na cantalisia?
Hahaha! hujakosea kujiita Cantalicia lol!Khaaaa my swty!Kweli darling wangu naona ulikosea kidogo,Hata mie nimeona ulikosea kidogo tu,Wala sina hofu na hao wavimba macho huko,Naridhika kuwa 1st lady wako,wao ndio wafuatie lol!
Asante my shem wangu kwa kunipaisha kwa my darling,Kamanda nakushauri ubaki na Cantalicia huyu Yuyoya humuwezi ni mchezaji wa 'premier' na simu aitumiayo ni Zantel( habari za striti ) sijui umenielewa ?
Asante shem,Hahaha! hujakosea kujiita Cantalicia lol!
inauma sana ila inabidi ndikumana akubali matokeo