Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Vijistaa vya kibongo kwa mbwembwe ,anafikiri atakuwa na umbo na uzuri alionao milele.Wanachokosea ni kuwa hawaangalii maisha ya baadae,nani atakuwa anampenda sura itakapokunjamana na umbo kutokuwa na shape maalumu !!