Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,195
- Thread starter
- #21
sasa kama walivyosema wakuu wengine ni mambo ya maelewano tu,wakubaliane anko kwa wiki mara moja awe anaenda kuyarudi magoma la sivyo akimbana sana nayo ina madhara yake.
anko magoma kila wkend ila kinywaji ni daily. Ngoja nitafte namna ya kuongea nae.