jasmin abdulrahman
Member
- Apr 7, 2012
- 32
- 5
Ninamchumba sinamuda nae mrefu ninamiezi nae3 ndani ya miezi hii aliniforce ili alete barua kwe2 nikamruhusu. Nikackia kumbe alikuwa na mwanamke kampa mimba nikajamuuliza kakubali kama alikuwa nae ila kuhusu mimba ye hajui. Nikamkataza kucheza kamali kumbe bado anacheza kwa kujificha. Juzi katoka kuliwa laki 7 za kazini hakubakiwa hata sent leo nimepata fununu kutoka kwa wasichana wa karibu yake wanadai nimeingia mkenge hvyo nataka nimwambie aje achukue barua yake sitaki tena kuolewa nae. Au mnanishauri vp ndugu zangu