ndoa inanishinda nipen mawazo yenu

Mpe tigo!ili atulie!
Groan yangu ya kwanza imekuendea wewe!Kama huna cha kushauri ni bora ukapita tu kuliko kumpotosha dada wa watu!Au we ulishatoa ukamtuliza mwenzako?Kama ndivyo hongera sana!
 
Pole, ila wewe huyo mwanamume humpendi hata kidogo, na kisaikolojia inaonekana upendo wako kwake upo kiuchumi zaidi. Kama hayo niliyoyasema hapo juu si kweli basi hakuna haja ya kuwa na mtu ambaye yupo kinyume na matakwa yako, wewe ni mwanamke unayo mamlaka ya kuamua juu ya mumeo, hao wote waliokushauri uvumilie ni ushauri mbaya na hao hawafai, ningekushauri kama hauna pesa, jitahidi uandae mipango ya kugawana mali, yaani hakikisha unaweza kuziangalia mali zote mlizochuma pamoja na baada ya hapo mweleze msimamo wako, then mwambie yeye aamue, narudia tena wewe ni mwanamke unanguvu kubwa kushindwa mwanaume katika mahusiano, labda uwe hauna uwezo kiuchumi, lakini kama unaweza kujitegemea, wanaume wapo wengi sana, tena kwa huo umri utaolewa na utaishi maisha mazuri hata ukiwa alone ni bomba. UKIMWI UNAUA!!!!
 
Pole sana dada upo kwenye ndoa kwa mda wa miaka 6 kwa maana hiyo uliolewa chini ya miaka kumi na nane yaani uliolewa ukiwa na 17yrs na uhakika wkt unaolewa ulikuwa hujitambui na ulikuwa huelewi ni nn maana ya maisha sasa unafunzwa na dunia. Imradi uliamua kuubeba mzigo wa hao wanawake 2 walio pita huna budi kuvumilia mpaka mwisho.
Huu mkataba wa ndoa yao ni batili si majority age ni 18? kwa hiyo hapo wakati anaingia mkataba tayari alikuwa haqualify kuingia, pole mdogo ndio dunia hiyo, unaweza mkimbia huyo ukaenda vaa mwingine malaya, hakupi matumizi, anakupiga, anachelewa kurudi, ana gubu, na mengineyo hivo jaribu kuongea nae mmeo mwambie hupendi anavyokufanyia mwitie na watu wazima wawepo ikishindikana kabisa na unaona kutoka rohoni huwezi vumilia, anza mbele, usije kufa na presha
 
Maskini kumbe ni hii nilisha sahau pole sana mwali, angalia linalokufaa ila ukiamua kuendelea na wa chuo hakikisha mmeshaachana na huyu mumeo kabisa ili usiwe na mapenzi ya wasiwasi tena, ila umri wako mdogo sana kwa dhahma kama hili
 
pole ndg...nadhani ungejua sababu ya huyo mumeo kuachana na wake zake waliokuwa b4 u,..then ungejua kinachomfanya awe malaya...kama kuna mapungufu somewhere esp da way u treat him or wat u do in da bedrum or da fud u cook or da way u tok etc.afterwards utaweza kubadili ambapo panahitaji mabadiliko na kuongeza kwenye mapungufu...instead of kukimbilia kuvunja ndoa!act politely n respect him without looking at the way he treats u,unajua binadamu yeyote hata awe gaidi wa wap tuna huruma na mishipa ya aibu...trust me or nt..he will change ONE DAY,...ONE TIME!...:majani7:
 
Pole, ila wewe huyo mwanamume humpendi hata kidogo, na kisaikolojia inaonekana upendo wako kwake upo kiuchumi zaidi. Kama hayo niliyoyasema hapo juu si kweli basi hakuna haja ya kuwa na mtu ambaye yupo kinyume na matakwa yako, wewe ni mwanamke unayo mamlaka ya kuamua juu ya mumeo, hao wote waliokushauri uvumilie ni ushauri mbaya na hao hawafai, ningekushauri kama hauna pesa, jitahidi uandae mipango ya kugawana mali, yaani hakikisha unaweza kuziangalia mali zote mlizochuma pamoja na baada ya hapo mweleze msimamo wako, then mwambie yeye aamue, narudia tena wewe ni mwanamke unanguvu kubwa kushindwa mwanaume katika mahusiano, labda uwe hauna uwezo kiuchumi, lakini kama unaweza kujitegemea, wanaume wapo wengi sana, tena kwa huo umri utaolewa na utaishi maisha mazuri hata ukiwa alone ni bomba. UKIMWI UNAUA!!!!

hapo tuko pamoja mkuu,umetoa ushauri mzuri sana.
 
we miss nora si kuna thread nimesoma humu leo unasema una hawara au ni miss Nora mwingine?
 
Nampa pole saana huyu mdogo wetu.Sasaaa.......mhn.Kama alikuta ameoa na kuacha mara mbili ina maana ndio hulka yake.Labda binti alitegemea atambadilisha tabia(kosa ambalo wanawake wengi hulifanya),au alizuzuka na pesa za jamaa plus muongozo mbovu toka kwa mazazi au walezi wake kwani naona aliolewa akiwa mdogo sana.
Lakini pia.....ameshaishi na huyo mume na anasema alishamfumania wakasameheana.Kwa staili hiyo alishatake riski tayari,kwanza akapime kwanza VVU ajue status yake then awahusishe watu wazima kma mshenga na wazazi kabla ya kufanya maamuzi ya kuondoka.Labda nimuulize miss nora,je huyo mume wake ana umri gani?
hapo tuko pamoja mkuu,umetoa ushauri mzuri sana.
 
Back
Top Bottom