Kuna mambo ukiambiwa unaweza ukachelea kuamini...lakini ndo ukweli.
Jamaa ameoa jumamosi na jumatano akaanza kuulizia kisu chake chenye makali ambacho tayari mkewe alikuwa amekificha baada ya kuona kinathaminiwa kuliko kifaa kingine ndani....alitaka kumdhuru rafiki yake wa karibu sana kwa kumtuhumu kumvizia mke wake huyo.....
Bwana huyo alikutana kwa mara ya kwanza na mwanamke huyo ndani ya miezi 6 na kufanya maandalizi hadi ndoa ndani ya kipindi hicho tu....Baada ya miezi karibu mi2 amemfukuza mkewe kwa tuhuma kuwa anago out na shemeji yake(mme wa dadake) ambaye amekuwa akimlea hapa jijini mpaka yeye akapata nafasi ya kumuona....siku hiyo dada wa mke akiwa na mmewe walimpitia kwenda shopping kwa bahati mbaya mmewe hakuwepo na simu haikupatikana ili kuaga....ktk shopping kwa kuzingatia kuwa mdogo wake hakujiandaa wakamnunulia na yeye vitu kadhaa kama nafaka n.k....kesi ikawa kubwa walipompitisha nyumbani kwake....mme alikasirika na kumkataa katakata mkewe....kwa busara tu shemeji mtu pia akakataa kwenda naye kwake na kushauri binti aende moja kwa moja Nyumbani kwa wazazi wake Morogoro na alikubali....mumewe alimfuata usiku wa manane Morogoro akiwa na matarajio ya kumkosa mkewe kule LAKINI kwa bahati nzuri alimkuta....kibaya zaidi amefanya fujo kwa wakwe na kumdhalilisha sana mwenzake aliyeoa dada mtu kwa kumtuhumu vitu kibao ikiwamo kum'do' mkewe. as am writting yuko kwa wakwe haongei na mtu amenuna tu...akifungua mdomo anasema apewe mkewe arudi naye dar....mkewe anagoma kwa kuhofia usalama wake....baba na mama mkwe wamekata tamaa...dada huyu yuko kwenye wakati mgumu sana anaomba ushauri afanye nini? waungwana ushauri wenu ni muhimu sana kuokoa maisha na ndoa ya huyu mdada...
nawasilisha...
Jamaa ameoa jumamosi na jumatano akaanza kuulizia kisu chake chenye makali ambacho tayari mkewe alikuwa amekificha baada ya kuona kinathaminiwa kuliko kifaa kingine ndani....alitaka kumdhuru rafiki yake wa karibu sana kwa kumtuhumu kumvizia mke wake huyo.....
Bwana huyo alikutana kwa mara ya kwanza na mwanamke huyo ndani ya miezi 6 na kufanya maandalizi hadi ndoa ndani ya kipindi hicho tu....Baada ya miezi karibu mi2 amemfukuza mkewe kwa tuhuma kuwa anago out na shemeji yake(mme wa dadake) ambaye amekuwa akimlea hapa jijini mpaka yeye akapata nafasi ya kumuona....siku hiyo dada wa mke akiwa na mmewe walimpitia kwenda shopping kwa bahati mbaya mmewe hakuwepo na simu haikupatikana ili kuaga....ktk shopping kwa kuzingatia kuwa mdogo wake hakujiandaa wakamnunulia na yeye vitu kadhaa kama nafaka n.k....kesi ikawa kubwa walipompitisha nyumbani kwake....mme alikasirika na kumkataa katakata mkewe....kwa busara tu shemeji mtu pia akakataa kwenda naye kwake na kushauri binti aende moja kwa moja Nyumbani kwa wazazi wake Morogoro na alikubali....mumewe alimfuata usiku wa manane Morogoro akiwa na matarajio ya kumkosa mkewe kule LAKINI kwa bahati nzuri alimkuta....kibaya zaidi amefanya fujo kwa wakwe na kumdhalilisha sana mwenzake aliyeoa dada mtu kwa kumtuhumu vitu kibao ikiwamo kum'do' mkewe. as am writting yuko kwa wakwe haongei na mtu amenuna tu...akifungua mdomo anasema apewe mkewe arudi naye dar....mkewe anagoma kwa kuhofia usalama wake....baba na mama mkwe wamekata tamaa...dada huyu yuko kwenye wakati mgumu sana anaomba ushauri afanye nini? waungwana ushauri wenu ni muhimu sana kuokoa maisha na ndoa ya huyu mdada...
nawasilisha...