Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Nipo Mtwara natokea Lindi kwa kosta; ndio tunaambiwa tushuke sheli coz hawaruhusu kujaza mafuta sisi tukiwemo ndani?πππ Dar hamna hiko kitu na mabasi kila saa sheli na sisi tupo; hii sheria ipo Mtwara tu au Mtwara ndio wanaitii tu?