Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
kwani CHADENA ikisaidia albino ni NGO?
CCM wameshafulia wametulia hela zetu tunataka kuona vyama vya upinzani vitumie pesa kwa utaratibu mzuri.
mojawapo ya utaratibu mzuri ni pamoja na kujipatia viongozi mbalimbali ambao wanaweza kutekeleza sera hizo za chama, siyo?