lakini ujumbe si niliufikisha mkuu
kama tunataka kuweka upinzani uwe strong lazima tukosoe nao wanapokosea ili wanaojiita CCM wasiwe napakukimbilia
Hakuna aliyekukataza kupinga au kukosoa upinzani (btw -- wanakosolewa sana hapa). Tatizo ni pale unapolazimisha watu kuandika kile unachotaka wewe (wakati huo huo ukitoa madai ya uongo kuwa upinzani haukosolewi hapa JF).