Ni vindege vya kizaman vya kivita vya kichina vinaitwa j10 ndio vinapita pita kutishia chadema ilimradi jk avute cku
MAKOSHNELI kama wewe kweli ni CHADEMA nikimaanisha unachosema, unachowaza na unachotenda ni chadema basi chama chako ni hatari kwa usalama wa nchi yoyote hapa Duniani. Yaani unadiriki kusema eti vindege vya kizamani, j10 vinatishia CHADEMA JK avute siku? Yaani jeshi litumike kutishia CHADEMA? what is CHADEMA my dear?
jamani kuna ndege zinapita kwa kasi sana hapa dar. zinakwenda kwa spidi kiasi milio.yake inastua sana. kuna nini?
kuna maadhimisho ya muungano i think tarehe 26 apriljamani kuna ndege zinapita kwa kasi sana hapa dar. zinakwenda kwa spidi kiasi milio.yake inastua sana. kuna nini?
Si suala la ugeni bali kujua nini kinafanyika. Kama wana mazoezi wangetangaza kabla ili tujuwe, haya ya kushituana wakati mnajuwa tulishawahi lipukiwa kule mbagala na gongolamboto hayafai..Wewe mgeni Dar!ndege za jeshi hizo zipo mazoezini.