Mbona walikuwa wanamwitwa Dr? Kumbe hakuwa na PhD? Au hii ya Mzmbe itakuwa ya pili...maana bosi wake anazo tatu/nne!
Res ipsa loquitur. Huyu bwana ametudhihirishia kwamba alikuwa anaudanganya umma wa watanzania, mpaka pale Kainerugaba Msemakweli alipowakurupusha na kuwafanyia stripping hadharani mabwege hawa wapenda sifa. Kwa mwenye akili ya kawaida tu, hakuhitaji rocket science kujua kwamba Nchimbi hafanani hata na Master's degree, nini Phd? Tunapozungumzia mastery ya language, jamaa ni 0% na unashangaa hiyo flawless language kwenye thesis yake kaitoa wapi kama siyo kukodisha watu wa kumuandikia, tena inawezekana ni hapo hapo Mzumbe. Halafu kesho naye anakwambia anataka Urais. Phew!