Nchimbi kupata PhD

Wa TZ tunaona fahari sana kuitwa wasomi hata kama mambo madogo tu ya kawaida yanatushinda! Huyu bwana niliwahi kuhudhuria sherehe fulani ambapo alitakiwa atoe speech fupi tu kwa kimombo. Alichokifanya kilisababisha wa TZ wengine tuliokuwa eneo la tukio tutamani kujificha. Jamaa alivunja mbaya, kana kwamba hiyo haitoshi, jamaa akapiga nje ya maada kabisa. Iko wapi sasa thamani ya PhD?


Walau huyu bwana ameonesha umakini kwa kupambana na kubeba U-daktari wa Falsafa wa ukweli hapa hapa bongo baada ya kukosea "mlango wa choo" katika attempt ya kwanza. Sielewi sana huu upondaji wa Mzumbe unaanzia wapi, ikumbukwe kwamba Thesis ya PhD hupelekwa kwa External Examiner aliyebobea na inaporudi candidate lazima afaulu "Viva Voce" examination.

Anastahili Hongera bila kujali hayo meengi yanayosemwa.
 
Labda anapewa ya pili. Labda amekuja kunote kuwa Ph.D yake ya kwanza was from unaccredited entity, i.e CommonWealth Open University (tofautisha na Commonwealth Institute) na ingekuja kumsumbua wakati wa kugombea Urais. Hata Wikipedia wamelist hiki chuo kama unacredited (List of unaccredited institutions of higher education - Wikipedia, the free encyclopedia). Lakini Waziri wetu alipiga shule ya Masters na Ph.D hapo.

CommonWealth Open UniversityPhD (Management)20012003PHD
CommonWealth Open UniversityMSc. (Management)19992001MASTERS DEGREE
Mzumbe UniversityMBA (Finance & Banking)20012003MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - MzumbeAdvanced Diploma in Administration19941997ADV DIPLOMA

And last year, the Tanzania Commission for Universities (TCU) informed that they have no legal right to punish or have the authority to force people to get their educational documents verified. The Senior Public Relations Officer, Mr Edward Mkaku said “The law that governs us (TCU) do not allow us to forcefully make someone produce certificates for verification; we have to wait for either the employer or the person to bring them to us.”

The report mentioned the institutions which issued the doubtful qualifications to include the Washington International University based in Hawaii, Commonwealth Open University (where Dr Nchimbi claims to have studies his masters and Ph.D)based in Caicos Virgin Island, Free States University, Ambala University in India and Almeda University, USA.

Kaazi kwelikweli.

Huyu nae alikuwepo ktk list ya MAFISADI WA ELIMU.
 
Hongera Sana. Ni hatua, usisahau kuondoa vyeti vyote feki katika CV Yako.
 
Wa TZ tunaona fahari sana kuitwa wasomi hata kama mambo madogo tu ya kawaida yanatushinda! Huyu bwana niliwahi kuhudhuria sherehe fulani ambapo alitakiwa atoe speech fupi tu kwa kimombo. Alichokifanya kilisababisha wa TZ wengine tuliokuwa eneo la tukio tutamani kujificha. Jamaa alivunja mbaya, kana kwamba hiyo haitoshi, jamaa akapiga nje ya maada kabisa. Iko wapi sasa thamani ya PhD?

Unazungumza vitu tofauti sana hapo (na inawezekana ni upeo wako wa mambo), sina hakika kama huyo bwana amepata PhD ya English Literature or Grammar. Ingekuwa hivyo tungemshangaa kushindwa kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha.

Kiingereza ni lugha ambayo wengi wetu tumekutana nayo shuleni, mara nyingi tumelazimika kufikiri kwa Kiswahili ili kujibu Maswali yaliyoandikwa kwa Lugha ya Kiingereza na tulifaulu mitihani.

Siwezi kumlaumu au kumponda msomi (aliyezaliwa miaka ya 70) wa bongo kwa
kutojua kizungu!
 
hii ni aibu hii!!

CommonWealth Open UniversityPhD (Management)20012003PHD
CommonWealth Open UniversityMSc. (Management)19992001MASTERS DEGREE
Mzumbe UniversityMBA (Finance & Banking)20012003MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - MzumbeAdvanced Diploma in Administration19941997ADV DIPLOMA

Kwahiyo alikuwa anasoma Master's degree na PhD at the same time?
 
Hebu imagine leo kunafanyika cabinet reshuffle halafu Dr Dr Nchimbi anapewa wizara ya elimu...phweeeeeeeeeeeeeew twafwa wajameni
 
cha msingi ni perfomance ya mtu si ma degree's. na ndiyo maana tunataka kuanza mchakato wa kuwatunukia shahada watu ambao hawajapitia formal eduction kama zenu lakini wako successful kwenye maisha yao.
 
cha msingi ni perfomance ya mtu si ma degree's. na ndiyo maana tunataka kuanza mchakato wa kuwatunukia shahada watu ambao hawajapitia formal eduction kama zenu lakini wako successful kwenye maisha yao.

Hapo mimi ni miongoni mwa candidates wa mwanzo kabisa, tena napendekeza mnipe "degree ya Uchumi" ili siku moja niwatawale.
 
cha msingi ni perfomance ya mtu si ma degree's. na ndiyo maana tunataka kuanza mchakato wa kuwatunukia shahada watu ambao hawajapitia formal eduction kama zenu lakini wako successful kwenye maisha yao.

Yote mawili ni muhimu certificate na perfomance. Kama una certificate lakin huwezi kuperfome hueleweki na kama unaperfom bila certificate bado kutakua na shaka.

Kuna vitu muhimu ambavyo waTZ ni lazima wavielewe, mara nyingi unachokisomea sio unachokifanyia kazi ispokua ni muhimu kua na level fulani ya understanding ambayo itakufanya uwe na uwezo wa kufahamu mambo haraka. Hilo linasuportiwa na certificate na sometime experience.

Dunia imebadilika sana kiasi kwamba kila kitu kinatakiwa kiwe chepesi na kinachotakiwa sana ktk utendaji wa kazi ni kudeliver ispokua hilo linatiliwa mashaka kama halitasapotiwa na elimu. Wacha tukubaliane kua Elimu ni muhimu ktk utendaji wa mambo ispokua ktk mazingira yasiyokua ya kawaida mtu anaweza kua hana elimu na akawa mchapakazi mzuri.

Lakin nini point ya mtu kua na certificate ya Harvard lakin mwizi, mlarushwa, hajali watu wengine, hajali nchi yake, hafuati maelekezo ya elimu aliyonayo. Ni afadhali kua na certificate yoyote lakin niweze kuprove on the ground kwamba nimeelewa nilichokisoma. Wengi wenye PHD wanatumia references za watu ambao wakati mwengine wana degree ya kwanza kwakua walizungumza kitu cha maana kinachotokana na experience zao either ktk maisha au kazi.
 
WaBongo tukiacha kuchuuzika na hizo titles za 'Prof', 'Dr' basi wanasiasa nao wataacha utapeli wa kughushi mambo.
Obama alikuwa na title ya 'Professor' pale University of Chicago Law School. Ingekuwa ni mwanasiasa wa Bongo angekandamiza na 'Professor Obama'. Yaelekea hawa wetu hawajiamini mpaka wawe na ka'title' kabla ya majina yao.

Ni kashfa kununua Degree za kisanii. Jamaa eti alisoma Masters (MBA Mzumbe) na PhD kwa wakati mmoja??? 2001-2003. What a joke!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Hoja hii si siasa hivyo imepotea jukwaa kwani ni Achievement binafsi ya ki-elimu, MODS ipelekenni jukwaa la elimu.

Hongera Nchimbi kwa hilo lakini unalo jukumu la kuonyesha maana halisi ya PhD zaidi tu ya milango ya magamba au karatasi tu hivyo watu tunasubiri tuone zaidi hilo.
 
hii ni aibu hii!!

CommonWealth Open University
PhD (Management)
2001
2003
PHD
CommonWealth Open University
MSc. (Management)
1999
2001
MASTERS DEGREE
Mzumbe University
MBA (Finance & Banking)
2001
2003
MASTERS DEGREE
Institute of Development Management - Mzumbe
Advanced Diploma in Administration
1994
1997
ADV DIPLOMA


Hivi hizi CV za bunge zimekaaje au mimi ndiyo sielewi??

Hivi kuna degree ya management au Diploma ya Administration?? Nilishawahi kusikia qualification kama vile Financial/Tax/Project/Business/Industrial........ Management au Public/Business....Adiminstration..................!! Lakini hizi za Management au Adiminstration alone ndiyo naanza kuzisikia kutoka bungeni. Kwa uelewa wangu inabidi iwe management au adiministraion ya kitu flani siyo general! Au wenzetu ndiyo hiyo design ya kumanage politics siyo??
 
WaBongo tukiacha kuchuuzika na hizo titles za 'Prof', 'Dr' basi wanasiasa nao wataacha utapeli wa kughushi mambo.
Obama alikuwa na title ya 'Professor' pale University of Chicago Law School. Ingekuwa ni mwanasiasa wa Bongo angekandamiza na 'Professor Obama'. Yaelekea hawa wetu hawajiamini mpaka wawe na ka'title' kabla ya majina yao.

Ni kashfa kununua Degree za kisanii. Jamaa eti alisoma Masters (MBA Mzumbe) na PhD kwa wakati mmoja??? 2001-2003. What a joke!

Good observation!!! Kama angekuwa ni kipanga kiasi hicho basi angetoka na first class kwenye diploma (kama huwa zinakuwa classfied). Lakini kama aliweza Msc na PhD kwa wakati moja tena ndani ya miaka mitatu kwa nini imemchukua miaka saba kumaliza hiyo PhD ya pili??

Huyu ndugu yake (J. Nchimbi) aliyetuletea hii thread pia atuambie research project yake ya PhD ya Commonwealth Open University!!
 
Mnakumbuka list ya mafisadi wa elimu by kanalugaba msemakweli?
Kuna waziri wa nchi m1 hapo ni std 7,pili kuna mawaziri wa2 wanajiita ma dr.(Phd holder),ryma guna na imbinch leunamme wakati ni vilaza tu
 
GreatThinkers,

Kwa vyovyote vile serikali ya CCM imechangia sana kuua elimu nchini, ni siku nyingi namsikia akijiita 'Dr.' kumbe alikuwa ni kama kina maji 'Prof.'Maji marefu

I have a big doubt on his Information Processing Capability(IPC) which is exactly a measuring tool to whether this man deserves on not.
Sitoshangaa nikisikia kasaini mkataba wa ajabu ajabu kwa kupewa zawadi ya suti na yeye

A BIG DOUBT!
 
Wa TZ tunaona fahari sana kuitwa wasomi hata kama mambo madogo tu ya kawaida yanatushinda! Huyu bwana niliwahi kuhudhuria sherehe fulani ambapo alitakiwa atoe speech fupi tu kwa kimombo. Alichokifanya kilisababisha wa TZ wengine tuliokuwa eneo la tukio tutamani kujificha. Jamaa alivunja mbaya, kana kwamba hiyo haitoshi, jamaa akapiga nje ya maada kabisa. Iko wapi sasa thamani ya PhD?

Unajua jambo husilolijua ni kuwa wewe hujui kuwa huna haki ya kujifanya ni tbs ya kila jambo!kavunja sawa kaongea nje ya mada ni sawa!je mada ilikuwa ni nini?kama mada iliokuwa ni upasuaji wa utumbo mdogo kuondoa kansa na yeye sio medical officer ulitaka aongee nini zaidi ya kuwatakia kheri na kuwatia moyo,
 
Back
Top Bottom