Wakuu, hebu angalieni nukuu hii ya 1958 ya Mwl Nyerere na tuchangie mada juu ya mustakabali wa nchi yetu na Ardhi yetu, mawazo yetu hapa jamvini yanaweza yakainusuru Nchi hii:
Wakuu, hebu angalieni nukuu hii ya 1958 ya Mwl Nyerere na tuchangie mada juu ya mustakabali wa nchi yetu na Ardhi yetu, mawazo yetu hapa jamvini yanaweza yakainusuru Nchi hii:
Ndani ya CCM hakuna anayethamini tena falsafa ya Mwalimu. Ni kama vile wameingia kwenye nyumba yenye fenicha na kuanza kutupa kila kitu nje bila kujua watatumia fenicha gani. Ukiwauliza watakwamba wafadhili (wageni) watatuletea fenicha mpya. Umemsikia yule naibu waziri akipingana na kauli za Mkapa kule Arumeru kuhusu mashamba waliogawiwa wazungu? Hao ndio CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.